David Kafulila aibwaga serikali

Lisu aliwahi kumtetea Jakobo Zuma na akashinda,Zito na Msando walitegewa bomu na Lisu wakajilipua wenyewe
 
Tundu Lissu ww Ni jembe, Leo nmekuona pia Mwanza ukimtetea Mh. Ester bulaya
 
Neema yanukia jamaa kawekewa sana mapingamizi

Wakina DHAIFU na genge lake la ESCROW wanaogopa kuwa Kafulila akirudi mjengoni atalipua ile kashfa upya na itabidi watajwe wale waliochukua fedha kwenye viroba kutoka Stambic!!
 
wasimpe kwanza yule mama mkopo make hatakaa bungeni hata kwa miezi mitatu
 
Kesi hii kama kafulila angeweka wakili mzuri angeshinda,ila huyu wakili wake ndg Daniel Lumanyila hana uzoefu na anaelea sana kwa wakili wa hasna ndg fungamtama.nayasema haya kwasababu nimeudhuria kesi hii tangu mwanzo,hata jana trh 14/1/2016 nilikuwepo mahakamani.Ni huruma tu ya jaji ndo inayofanyika hata wakili msomi tundu lissu alimwambia jana kafulila kuwa tafuta wakili mzuri.
 
Hii ni hatari sana.
Kama hana wakili mzuri atajikuta anashindwa kesi kwa sababu za kipuuzi.
Kafulila anapaswa azingatie sana jambo hili
 
Haki ya Mtu haipotei, wataiba, wataipora, watadhulumu lakini Mungu akisema NDIYO hakuna wa kusema hapana. Kafulila subira huvuta heri. Waliodhani umepoteza wasubiri waone. Mungu akutangulie Kafulila unahitajika sana kipindi hiki hapa Tanzania
 
au mm sioni vizuri kuna kitu hakipo sawa juu ya taarifa hii kesi kuendelea january 28 2015
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…