David Beckham yupo Tanzania

Sio kila mtu maarufu anayekuja kutalii anatangazwa,mambo ya kutangazwa ni makubaliano ya mgeni kama atataka kutangazwa wengine hawapendi ,hata huko Kenya kuna maceleb kibao huingia na kutoka bila kutangazwa,hata mjukuu wa malikia wa uingereza kuna wakati aliweza kukaa hata mwezi huko Lewa bila watu kujua kama yupo Kenya
 
Wale mnasema kwamba watanzania Ni washamba kuliko wakenya kwenye mambo ya kutangaza utalii mnamatatizo..hivi mmejiuliza kwann becks kaamua kuja bango na sio Kenya!?au nyie ndo mlimueleza habari za Serengeti! Na tanzania?acheni kujidharau..!!
 
Si ajabu utajiri alionao beckam ukawa unawakaribia wakina Ronald na messi ukae ukijua kufuria kwa mchezaji aina ya beckam ni kuizalilisha uengereza.
 
we kweli pimbi
 
Chekesha sana mzee baba[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Itakuwa aliona matangazo ya vivutio vyetu katika michezo ya ligi ya uingereza,Kazi nzuri ya mkwele na waziri wa utalii enzi hizo mueshimiwa nyalandu Leo tunaona faida ya hayo matangazo.
 
Ma thread kama haya mi.huwa natamani mapicha tu
 

Nimependa hicho Ki-Englsih cha "enjoy your stay in a Tanzania" Hiki mbona kama cha Baba Bashite vile? Kazi yipoooooo!!!
 
Tatzo lako umezoea kingereza cha tense.
Kiingereza bila tense hicho siyo grammatical!! Hiki Kiingereza chenu cha akina Bashite ni tatizo!! Hiyo sentence ni broken English kwisha habari!!
 
Tupunguze kushoboka jamani, huenda anareasons zake za kutaka privacy
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…