David Beckham yupo Tanzania

Nadhani amekuja kutalii kama familia privately huwezi tena kwanza kufanya naye matangazo au sijui matamasha au makongamano.

Ila kwa waandishi watundu na wajanja wanaweza Hata kufanya naye appointment na Hata kufanya mahojiano na kituo kimoja cha TV akiwa ktk hotel yake alikofikia.

Ni nafasi pekee ya kuonyesha weledi wa taaluma ya uandishi na uwanahabari kwa ujio wa David Beckam
 
Kashafulia huyo!! wangekuja watu walio kwenye chati kama CR 7 au MESSI uone kama shuguli za uzalishaji uchumi sisingesimama kwa muda hapo bongo. Huyo ana tofauti gani na ile timu ya wazee ya real madrid iliyokuja bongo?
 
Anataka privacy ndo maana yeye pia hakutoa taarifa!
 
Nawe kila kitu unaona uvivu, sasa unatoa comment ya nini kama unaona uvivu?
 
Mkuu hebu fafanua kidogo.Kama wangetangaza ujio wake ni kitu gani kingefanyika?
 
Lakini bado ni celebrity mkubwa sana na mambo yakimwendea vizuri atakuwa owner wa timu USA muda si mrefu ujao.
Inawezekana yeye ni mzee kuliko Beckham kutokana na ugumu wa maisha....
 
Reactions: BAK
Nguli wa soka la Uingereza na familia yake wametua Bongo usiku huu Mwenye taarifa zaidi wa ujio wake na lengo lake tafadhari aongeze Nyama kwenye Uzi huu
 
hii habari ipo humu tangu jioni,huo usiku unaousema wewe ni upi,au aliondoka afu karudi tena saiv?
rudi kamalizie usingizi wako..
 

huyu si ndio alipokutana na JK pale santiago bernebeu wakati anacheza real mdrid JK alivyoenda kumsalimia na kumkaribisha bongo alisema haijui TZ mpaka alivyotajiwa mlima kilimanjaro....sasa nini kimemleta kama sio ufukunyuku na umbea...siku hizi hata hasikiki na mpira wake ulishaisha kitaaambo.....apite kushoto tu
 
Kasha kwisha huyo. Sana anashangaa kaja tz hakuna hata wa kumshobokea. Bora hata angekuja manamziki wabongo wangeshtuka
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…