marcoveratti
JF-Expert Member
- Sep 21, 2017
- 967
- 1,693
Baada ya hukumu ya mchambuzi nguli wa masuala ya soka na michezo Tanzania Bw Shafii Dauda Al Maarufu Kama Digala kua amefungiwa kujihusisha na masula ya michezo kwa muda wa miaka mitano kutoka kwa TFF.
Wote tunafahamu kua Shafii Dauda ana miliki maduka ya Vifaa vya michezo DAUDA SPORTS WEAR.
Sasa je licha ya kufungiwa kujihusisha na masula ya michezi Dauda anaruhusiwa kuendesha bishara ya vifaa vya michezo?
Wote tunafahamu kua Shafii Dauda ana miliki maduka ya Vifaa vya michezo DAUDA SPORTS WEAR.
Sasa je licha ya kufungiwa kujihusisha na masula ya michezi Dauda anaruhusiwa kuendesha bishara ya vifaa vya michezo?