Data Security- Wazungu Wameendelea Sana

Ni muovu tu hung'ang'ania kujificha kiasi hiki
 
Hiyo picha ya 3 hata mimi ndio huwa nakua hivyo wakati niko kwenye PC yangu wakati nawajibika na kwenye jukwaa na wanaJF!
 
Kwa nini wewe hujaribu. Nani ankuzuia? Embu wacheni kusifu sifu ma white people. Ndiyo maana wanaliita bara la Afrca DARK CONTINENT. It is because of people like you wanaojikomba kwa wazungu. Wewe jifunike KANIKI. Na kando weka tunguli.
 
data security wapi?? huyo anaangali porn anaogopa asionekane
 
Nadhani wabongo wanatamani hizi facilities zingekuwepo kwenye internet cafe!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…