Mr Leo
JF-Expert Member
- May 1, 2021
- 602
- 1,271
Habari za mida hii wakuu?....
Kama jina la thread linavyojieleza hapo juu, ningependa moja kwa moja niende kwenye mada husika hasa iliyopelekea hadi mimi kuanzisha hii thread.
Nina mdogo wangu anataka kusoma kozi ya tehama amabayo kimsingi kwa nchini hapa bado ni ngeni nafikiri ipo chuo kimoja tu(mbeya university of science and technology) na hiyo kozi inaitwa Bachelor of science in Data science..
Nahitaji kujua angalau baadhi ya vitu kuhusiana na hii kozi ya tehama(Bsc data science) kama vile
hii kozi inahusiana na mambo gani hasa
sababu kubwa ya kozi hii ni kuja kutatua changamoto zipi za kitehama?.
kozi hii inafanya sana kazi mazingira gani?.
kozi hii ipo sana favorable kwa watu wenye sifa gani?.
Naomba kuwasilisha wakuu.
Kama jina la thread linavyojieleza hapo juu, ningependa moja kwa moja niende kwenye mada husika hasa iliyopelekea hadi mimi kuanzisha hii thread.
Nina mdogo wangu anataka kusoma kozi ya tehama amabayo kimsingi kwa nchini hapa bado ni ngeni nafikiri ipo chuo kimoja tu(mbeya university of science and technology) na hiyo kozi inaitwa Bachelor of science in Data science..
Nahitaji kujua angalau baadhi ya vitu kuhusiana na hii kozi ya tehama(Bsc data science) kama vile
hii kozi inahusiana na mambo gani hasa
sababu kubwa ya kozi hii ni kuja kutatua changamoto zipi za kitehama?.
kozi hii inafanya sana kazi mazingira gani?.
kozi hii ipo sana favorable kwa watu wenye sifa gani?.Naomba kuwasilisha wakuu.
