Wont be the same
JF-Expert Member
- Aug 15, 2024
- 1,564
- 2,483
Katibu Tawala wa Wilaya ya Kasulu mkoani Kigoma Theresia Mtewele, amewataka Wananchi wa Wilaya hiyo kutunza mazingira ya vyanzo vya Maji ili kuendelea kupata Maji safi na salama.
Mtewele amesema Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan amekuwa kinara wa kuhakikisha miradi mbalimbali ya Maji inatekelezwa kikamilifu na wananchi wanapata Maji safi na salama nchi nzima.
Kupata matukio na taarifa zote kwa kila mkoa kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025 ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025
Mtewele amesema Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan amekuwa kinara wa kuhakikisha miradi mbalimbali ya Maji inatekelezwa kikamilifu na wananchi wanapata Maji safi na salama nchi nzima.
Kupata matukio na taarifa zote kwa kila mkoa kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025 ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025