akuna atakaegoma trust me
cya Monday
watoto wa sasa wananuka maziwa na makelel mengi kuliko vitendo tofauti na enzi zetu wakiongozwa na Jenerali ZITTO KABWE
serikali walikuwa na adabu kwa wanafunzi sio leo wakifanya ujinga wakitishiwa kutolipwa mkopo nanii zote zinalala chini
akuna atakaegoma trust me
cya Monday
watoto wa sasa wananuka maziwa na makelel mengi kuliko vitendo tofauti na enzi zetu wakiongozwa na Jenerali ZITTO KABWE
serikali walikuwa na adabu kwa wanafunzi sio leo wakifanya ujinga wakitishiwa kutolipwa mkopo nanii zote zinalala chini
akuna atakaegoma trust me
cya Monday
watoto wa sasa wananuka maziwa na makelel mengi kuliko vitendo tofauti na enzi zetu wakiongozwa na Jenerali ZITTO KABWE
serikali walikuwa na adabu kwa wanafunzi sio leo wakifanya ujinga wakitishiwa kutolipwa mkopo nanii zote zinalala chini
Toka nmeanza udsm tukiwa na makamanda kama odong silas keefa odwa.. Tuliwahi fukuzwa chuo three time kwa miaka mitatu tofaut lakin tuliweza kuifanya serikali kulegeza masharti kandamizi ya mikopo na tuligraduate..
My take
Msiogope kudai haki zenu mpaka kieleweke ..solidarity forever.
Hiki kzazi cha TEHAMA hakina uwezo wa kugoma,wanashinda wanashndana wanashusha suruali na kuiga style za kucheza kiduku...tukubali tu tumekosea sana kuruhusu chuo kkuu kudahiri watoto teenagers ambao walitakiwa kuwa sekondari
akuna atakaegoma trust me
cya Monday
watoto wa sasa wananuka maziwa na makelel mengi kuliko vitendo tofauti na enzi zetu wakiongozwa na Jenerali ZITTO KABWE
serikali walikuwa na adabu kwa wanafunzi sio leo wakifanya ujinga wakitishiwa kutolipwa mkopo nanii zote zinalala chini
SOLIDARITY FOREVER,serikali haina ubunifu kumaliza matatizo ya Elimu yetu.kila siku wanakuja na mifumo kandamizi na inayoua elimu yetu,Viva DARUSO hakuna kulala warudisheni wenzenu.
Ndo tatizo la kumpa ngwini aongoze chuo bora Prof Eng. Member IEEE mathew Luhanga kaongoza chuo vizuri sana alivyokuja huyu kilaza wa kashozi mambo yote yamaharibika chuo sasa kinaendeshwa kisiasa