Super, also dont forget one thing, the basics of being a good wife, will inspire your husband to be a good husband oaThanks Fazaa.
I should so because he is everything i have in terms of love. YOU TOO DO IT FOR UR HUBBY OR CUTTIE
Your very true. na sababu kubwa ni kwamba mtu unakuwa hutegemei kama mwenzi wako anaweza akakusaliti. Lakini sikufichi technique nzuri ni kutokumfuatilia ana mwenzio. Unajua hasa akina mama huwa tunakosea hapo tusipende kuwafwatilia sana hawa wenzetu. Ishi na mume kama mume na kwakua ni mtu mzima asikuumize sana, kila mara ukawa unamuwazia. Ukimpuuzia wala hakupi shida, tena atakapo kosea sana halafu uka ignore huwa anaumia sana. msome mwenzi wako yukoje kisha tenda tofauti na anavyotarajia. pale anapotaka kudraw attention yako wewe unipotezea. lazima mtadumu tu. thats my secretUkiishi na mumeo akawa anaku cheat once in a while katika ndoa.... ni tofauti na yule ambae hajawahi cheat akaja cheat baada ya miaka. Hapo hata ndoa yaweza kufa kabisaa... Sijui labda nakosea ila naelewa hivo.
Kwahiyo mimi ntasubiri mpaka miaka 45 ifike ili niwe na nidhamu. Ushauri wenu utazingatiwa
Why does it take that long for marriage to stabilize? Au baada ya miaka kumi ndo kila mtu ana give up na kuamini that is it...hakuna tena njia nyingine ni kuubeba huu msalaba mpaka mwisho.
hongera sana
huyu mumeo ni member humu?
The Boss umepotea sana mkuu
Upo mkuu
Hope usalama upo
Nafikiri zaidi haya maneno angemwambia wakiwa wawili tuu maana kama si member humu yatakuwa hayana maana au atakuwa kafurahisha jamvi tuu
My sweet husband I love you. You are the nice and sweet husband I have ever seen. I do always thank God for giving me such an outstanding person to be my husband and the father of my kids. Whenever i think of the 10 years we have been together I do assume it to be just a day. you mean alot to me and to our kids. May the blessings of our good God be upon you as you pray and may his Holy spirit be upon you wherever you go. I pray that our love will last forever till we see our grandkids........... you are good G.
............................Dear G' YOU ARE SO LOVELY. Love you a lot my sweetheart. HAPPY ANNIVERSARY DEAR FOR CELEBRATING 10 YEARS OF OUR MARRIAGE.
Ilu
Ilu
Ilu