Dark Girls - Mbona tunajidharau?

Speaking from my heart, I don't find whites (wazungu) attractive being men or women. Ngozi yao inachakaa upesi na ndio maana magonjwa kama skin kansa yanawapata sana

mkuu...hatuko hapa ku-bash wazungu! Wao pia ni binadamu! Sidhani kama wanachakaa upesi kama unavyodai! Kuna magonjwa yanayoendana na rangi, lakini hayo ni mpaka uwe na scientific evidence. Ama sivyo usitukane rangi ya mtu. We have no power over it kabisa!
 
That is what I feel and I am not here to recruit others to feel the same

mkuu...hatuko hapa ku-bash wazungu! Wao pia ni binadamu! Sidhani kama wanachakaa upesi kama unavyodai! Kuna magonjwa yanayoendana na rangi, lakini hayo ni mpaka uwe na scientific evidence. Ama sivyo usitukane rangi ya mtu. We have no power over it kabisa!
 
mkuu...hatuko hapa ku-bash wazungu! Wao pia ni binadamu! Sidhani kama wanachakaa upesi kama unavyodai! Kuna magonjwa yanayoendana na rangi, lakini hayo ni mpaka uwe na scientific evidence. Ama sivyo usitukane rangi ya mtu. We have no power over it kabisa!

besides, wana maisha marefu sana...karibu miaka 80 kuliko sisi..

nafikiri umefika wakati sisi waafrika tujiulize.. Mi ninaona matatizo tunayo sisi wenyewe..
 
Sikuwa ninajua kama hii pia ni tatizo huko Marekani. Na kwa kweli nimeona jinsi wamarekani weusi walivyo..kumbe wale tunaoneshwa kwenye Music Videos ni 'wamechaguliwa'..yaani ni mbegu bora..

Maswali ninayojiuliza

1) Kwa nini wametufanya tuamini hivyo? Yaani imekuwaje sisi tumeshindwa kuwafanya waamini kama tunavyotaka?
2) Je ni kweli mbaguzi mkubwa hapa duniani ni mtu mweusi mwenyewe??
Yaani huyo binti mdogo kabisa, anajua mtoto mweupe ndo mzuri, na mtoto mbaya ni mweusi..

3) Je hii inatufanya tuamini kwamba wenzetu wenye ngozi wana akili kuliko wenye ngozi nyeusi.? Kwa nini waliweza kututawala na kutufanya watumwa...? Kwa nini hadi leo tunaendelea kuwanyenyekea na kujidharau machoni pao.? Je hii ni uumbaji au tatizo gani hasa?

Nafikiri haya mambo yanaweza kwenda ndani zaidi..
Sijui sisi waafrika tuna matatizo gani

1. Tunapigana wenyewe kwa wenyewe
2. Hatuwezi kujitawala (Angalia mashirika yanapokufa pale ambapo wazungu waliondoka na kutuachia)

Je kuna uhalali wowote wa kuwatupia lawama na kuwahukumu wazungu katika mustakabali wetu..ikiwa ustaarabu unatushinda?

Angalia mazingira ya Temeke ambako 'wenyeji' ndo wamejaa..Tazama ujengaji wetu, mifereji, na hata vyoo na mabafu..?? Yaani tunaishi utafikiri tumeambia mwisho wa dunia ni kesho..
TATIZO letu ni nini hasa??

Rangi ya ngozi haina correlation yeyote na akili ya mtu! tatizo ni wao waliwahi kuendelea na hivyo kuweza kujijenga as superior race. Wakati kina Newton wanavumbua kuhusu gravity, nk, sisi tulikuwa bado tumelala. Sasa tunahitaji kuamka!
uwezo wa kuendesha vitu tunao, sema bado hatujaweka system ya kuendeleza wale wenye uwezo. Leo hii watu wenye uwezo, ma-professor wameishia kwenye siasa!
Lakini tutaamkaje kama bado tuna serikali mbovu? Ona sera ya elimu ya ccm. kweli unategemea mtu kuelimika hapo na kufuta ujinga?
Anyway, outside siasi, kupigana wenyewe kwa wenyewe sio ishu, maana wazungu nao wanapigana sana. Angalia ishu ya Serbia na huyo mkuu wa jeshi aliyekamatwa juzi.
 
Juzi nilianzisha thread ikiongelea hii ishu. Wengi wakasema ni uongo. Sasa sijui ni wao ndio wanajidanganya maana naona ni ishu iliyo serious sana.
Unaweza kuipata hapa:
https://www.jamiiforums.com/mahusiano-mapenzi-urafiki/136549-je-ni-kweli.html
Leo nimekutana na hii trailer ya Documentary itakayotoka mwishoni mwa mwaka huu.
Nimeangalia na kushikwa na huzuni sana.
Kuna rafiki yangu wa karibu amepost kwenye facebook baada ya kuona hii documentary na kusema:
"i remember my auntie sayin, make sure u marry a light skin lady, your too dark and you dont want your children to be dark like you"

Je Waafrika tuna shida gani? Mbona tunajidharau?


Man nenda kijijini kwa babu au kwa bibi kama wangalipo hai kawaulize nini maana ya mapenzi, na ndoa inatakiwa iweje.. ?
sababu ulichoandika wewe na huyo rafikiyo aliye facebook si haba hamkifahamu..?!! alfau medically speaking nilipokuwa 3rd year kwenye ped.lecture series Prof. ali quote kitu muhimu sana alisema "unapozidi kuoa mtu aliyekaribu na wewe /(ndugu) watoto watao patika wanakuwa na IQ ndogo zaidi kuliko wale ambao wamefunga ndoa ilhali ya kwamba hawapo karibu kiudugu (ukoo mmoja/ kabila moja) inshort mbali unavyozidi kukimbia ndivyo probability ya kupata watoto smart inazidi inazidi . akatoa mfano wa Down - sydrome ( watoto wenye utindio wa ubongo) wengi wao utakuta baba na mama ni ndugu kama si ukoo basi kabila moja.

hakutaja kuhusu rangi. naweza nikaoa mweusi mwenzangu ambaye hatuna udugu na tukapata watoto wazuri tu wenye IQ ya juu!

in-short color doesn't it matter

 
Rangi ya ngozi haina correlation yeyote na akili ya mtu! tatizo ni wao waliwahi kuendelea na hivyo kuweza kujijenga as superior race. Wakati kina Newton wanavumbua kuhusu gravity, nk, sisi tulikuwa bado tumelala. Sasa tunahitaji kuamka!
uwezo wa kuendesha vitu tunao, sema bado hatujaweka system ya kuendeleza wale wenye uwezo. Leo hii watu wenye uwezo, ma-professor wameishia kwenye siasa!
Lakini tutaamkaje kama bado tuna serikali mbovu? Ona sera ya elimu ya ccm. kweli unategemea mtu kuelimika hapo na kufuta ujinga?
Anyway, outside siasi, kupigana wenyewe kwa wenyewe sio ishu, maana wazungu nao wanapigana sana. Angalia ishu ya Serbia na huyo mkuu wa jeshi aliyekamatwa juzi.

Swali lipo hapo kwenye RED..kwa nini waliweza kutufanya tuamini hivyo..??
Sidhani kama Mjerumani anaweza kumfanya Mwingereza amuone superior...Labda ndo maana kulikuwa na vita ya dunia...

Mi nafikiri hatutaki kukubali ukweli kwamba sisi waafrika wenyewe ndio tuna matatizo, ila tunawatupia lawama wenzetu..Hivi Israel wangekuwa wapi kama kila siku wangekuwa wanamtupia lamawa mjerumani...
????
 



Man nenda kijijini kwa babu au kwa bibi kama wangalipo hai kawaulize nini maana ya mapenzi, na ndoa inatakiwa iweje.. ?
sababu ulichoandika wewe na huyo rafikiyo aliye facebook si haba hamkifahamu..?!!


mhh...off topic@!#
 
kwa jinsi wasichana wa kiswahili wengi walivyo na low self esteem na iferior complex na wazungu na waarabu...
hata kama kuna mambo hayapendi kama kutoa tigo n.k
akiwa na mzungu sheria zote zinavunjwa
anakubali kila kitu

too sad...

Si kwasababu wanaamini kwamba mzungu anajua kila kitu...hata kile kisicho wanaona kwasababu mzungu kasema then it must be the right thing to do!Tunajimaliza wenyewe kwakumgeuza mwanadamu Mungu!
 
Si kwasababu wanaamini kwamba mzungu anajua kila kitu...hata kile kisicho wanaona kwasababu mzungu kasema then it must be the right thing to do!Tunajimaliza wenyewe kwakumgeuza mwanadamu Mungu!

Na mara nyingi hawa weupe wanaoneka right... Karibu issue zote tumewafanya wazungu ndo benchmark!!
 
Swali lipo hapo kwenye RED..kwa nini waliweza kutufanya tuamini hivyo..??
Sidhani kama Mjerumani anaweza kumfanya Mwingereza amuone superior...Labda ndo maana kulikuwa na vita ya dunia...

Mi nafikiri hatutaki kukubali ukweli kwamba sisi waafrika wenyewe ndio tuna matatizo, ila tunawatupia lawama wenzetu..Hivi Israel wangekuwa wapi kama kila siku wangekuwa wanamtupia lamawa mjerumani...
????

hahaha...umenifurahisha sana na post yako juu ya mjerumani na mwiingereza! its very interesting ukifikiria kwa upande huo.
nadhani kwa sababu walikuja na vitu walivyo vumbua, babu zetu wakaona hawa wamewazidi.
nadhani kwa upande mwingine unaongelea wewe, sisi tunapenda kupokea tu! Angalia kwa mfano, serikali inatunga bajeti inayohitaji pesa za wadhamini?!@ Ivi wakati uingereza inaendelea ni nani alikuwa anadhamini bajeti yake? Kwa nini wanakimbilia kununua ma-landcruiser huku hawana hela? Mwisho wa siku unakuwa tegemezi daima!
 
Si kwasababu wanaamini kwamba mzungu anajua kila kitu...hata kile kisicho wanaona kwasababu mzungu kasema then it must be the right thing to do!Tunajimaliza wenyewe kwakumgeuza mwanadamu Mungu!

utasikia waswahili wanasema AKITOKA MUNGU,MZUNGU....MWAFRIKA WA MWISHO....

NA watoto wadogo wanasikia upuuzi huo...unakaa kichwani
 
n17.jpg
 
hahaha...umenifurahisha sana na post yako juu ya mjerumani na mwiingereza! its very interesting ukifikiria kwa upande huo.
nadhani kwa sababu walikuja na vitu walivyo vumbua, babu zetu wakaona hawa wamewazidi.
nadhani kwa upande mwingine unaongelea wewe, sisi tunapenda kupokea tu! Angalia kwa mfano, serikali inatunga bajeti inayohitaji pesa za wadhamini?!@ Ivi wakati uingereza inaendelea ni nani alikuwa anadhamini bajeti yake? Kwa nini wanakimbilia kununua ma-landcruiser huku hawana hela? Mwisho wa siku unakuwa tegemezi daima!

Ndo maana nimekwambia lazima kutakuwa na matatizo upande wetu sisi waafrika hasa hasa sisi tunaojiita Watz..Nadhani hatua mojawapo ya sisi kupata maendeleo ya kweli ni sisi tukubali kwamba tuna matatizo. Tujaribu kuangalia haya matatizo yameletwa na nini, na kwanini yawe kwa majority of us. Then tukae chini tuangalie jinsi ya kuyatatua..

Wakati mwingine hata hii mifumo ya utawala (demokrasia, udikteta, ujamaa n.k), tumeivamia tu, wala haitufai kabisa. Mie nafikiri tunahitaji mchanganyiko. Nazungumzia hapo kwa kuchukulia picha ya maendeleo ya nchi na sio ya mtu mmoja mmoja.
 
Kuna jamaa yangu hawapendi wazungu anasema ngozi yao inafanana na ngozi ya ndani ya nyeti za wa...ake,jamaa ana hasira kinoma na hawa watu!
 
Kuna jamaa yangu hawapendi wazungu anasema ngozi yao inafanana na ngozi ya ndani ya nyeti za wa...ake,jamaa ana hasira kinoma na hawa watu!

huyo ameenda mbali sana tu..
Hakuna sababu ya kumchukia mtu kwa sababu ya rangi yake.
 
Ndo maana nimekwambia lazima kutakuwa na matatizo upande wetu sisi waafrika hasa hasa sisi tunaojiita Watz..Nadhani hatua mojawapo ya sisi kupata maendeleo ya kweli ni sisi tukubali kwamba tuna matatizo. Tujaribu kuangalia haya matatizo yameletwa na nini, na kwanini yawe kwa majority of us. Then tukae chini tuangalie jinsi ya kuyatatua..

Wakati mwingine hata hii mifumo ya utawala (demokrasia, udikteta, ujamaa n.k), tumeivamia tu, wala haitufai kabisa. Mie nafikiri tunahitaji mchanganyiko. Nazungumzia hapo kwa kuchukulia picha ya maendeleo ya nchi na sio ya mtu mmoja mmoja.

Kwa hiyo unavyosema matatizo una maana kutojiamini au matatizo gani haswa?
 
Back
Top Bottom