a4afrika
JF-Expert Member
- Apr 13, 2012
- 1,389
- 1,335
Kazi inafanyika Mkuu! Uzuri ni kwamba, Fikra hizi zi miongoni mwa wengi sana.Hii ilikuwa 2013 lakini hakuna execution yoyote.
Ni faraja sana kukutana nazo kwa wengine, huondoa Upweke, hutia tumaini na hujenga ujasiri katika harakati.
Ziko mikono salama, msingi unajengwa. Tumaini lipo.
Anaita sasa!