Mzee hilo daraja likijengwaKm 50 imegharimu Tr 36.5 sasa hili ZnZ Dar si tutakausha hazina? Lakini kiranja anasisitiza pesa zipo
Kupitia bagamoyo ni 28km...ZnZ - Dar kuna umbali gani?
Kupitia bagamoyo it is just 28km...73.43 km
Historian peleka jukwaa la historia. Hapa taarifa daraja limekamilika, au unafikiri mtoa mada hajui historia?! Bas kama vipi anzisha Uzi wa historia ya hilo daraja.Kila jambo na historia yake
Tafuta historia ya Hong Kong kwanza, na soma historia ya China juu ya Hong Kong, kama ni ngum kwako basi endelea kuangalia picha za uzinduzi na kufurah.
Dunian kunamengi sana na sio lazima kuyajua yote
Itabidi tuweke na kikosi kabisa cha uokoaji baharini maana kwa udereva wetu huuTujenge daraja la Dar-Zanzibar.
Kisha tuzungushie ukuta Zanzibar yote.
Kwa Injinia Mchumi Mwanasheria Mhasibu Mkemia Daktari Rais Waziri wa Yote John Pombe Joseph Magufuli, ujenzi wa daraja kama hilo ungetumia miaka 2 tu. Yaani kilomita 50 tu, miaka 9? Wachina wapo slow kweli. Waje wajifunze jinsi ujenzi unavyofanywa kwa [HASHTAG]#hapakasitu[/HASHTAG]
Hujaelewa point yangu ya msingi. Rudia tena kusoma, ukiwa sober. Kama hutoelewa tena, niambie nikueleweshe.Sasa ndugu utalinganisha barabara za kawaida na zinazopita juu ya bahari!!! Ebu pitia barabara walizojenga hao hao wachina wenye akili nyingi tofauti na zet uone zimechukua mda gani, tena za kiwango hali juu ukilinganisha na zetu.
Hilo daraja Kama ni bongo lingechukua miaka 30.
La kigamboni limechukua muda gani???
Historian peleka jukwaa la historia. Hapa taarifa daraja limekamilika, au unafikiri mtoa mada hajui historia?! Bas kama vipi anzisha Uzi wa historia ya hilo daraja.
mkuu hawa jamaa wana juwa kucheza na maji sana hilo daraja kuna sehemu limepita chini ya maji nadhani ili kuacha nafasi ya mepi kupita ! Bongo bahati mbaya!Hongera zao. Hivi lile la Misri na Saudi Arabia limefikia wapi