Mkuu hilo sio daraja kiswahili hilo linaitwa jukwaa kwa ajili ya ujenzi wa hilo daraja. Jukwaa hilo litatumika kujenga daraja lenyewe na litatumika kwa gari la ujenzi kusimama kwenye hilo jukwaa na kusupply materials ya ujenzi wa daraja.
siri yenu nawamegea msimwambie mtu,kigamboni yote wakazi watahamishwa,afu litajengwa jiji lamaraha kama kule Miami au Honolulu,kiwe kitegauchumi cha sisiempty
nauliza tu
nondo za kujengea hazijatoka katika viwanda vilivofungiwa na TBS?
kama zimetoka china zitakuwa feki zaidi pia.
nina mashaka na ubora wa hilo daraja.
Hata nami nina mashaka sana na hizi dhana za kichina. Hili daraja likiisha, itanichukuwa sana muda kupita na gari kwenda kwa shangazi kule Mji Mwema. Yaani nipo nipo tu huku nikitafakari jinsi watu watakavyojirusha hapo darajani mara baada ya kwisha.
Sijui kwa nini mawazo hasi kuhusu ubora wa hili daraja yananijia sana kwamba daraja hili haliko kiwango?? mwenye uhakika anitoe wasiwasi na static calculations zinasemaje?