Daraja "flyover" chini ya ujenzi huko Kangemi, Nairobi Kenya limeporomoka mida hii. Watu wanne wameokolewa wakiwa na maumivu makali huku wengine wakihofiwa kufunikwa na kifusi.
Daraja "flyover" chini ya ujenzi huko Kangemi, Nairobi Kenya limeporomoka mida hii. Watu wanne wameokolewa wakiwa na maumivu makali huku wengine wakihofiwa kufunikwa na kifusi.
Jamaa amejificha anasubiri alete majigambo tu. Kwa mfano kwenye Global Peace Index 2021 kwa Africa Tanzania ipo top ten lakini hatuna haja ya kujisifu, ingekuwa imetokea kwa hawa nyang'au leo tusingelala.
Jamaa amejificha anasubiri alete majigambo tu. Kwa mfano kwenye Global Peace Index 2021 kwa Africa Tanzania ipo top ten lakini hatuna haja ya kujisifu, ingekuwa imetokea kwa hawa nyang'au leo tusingelala.