Magonjwa Mtambuka
JF-Expert Member
- Aug 2, 2016
- 29,354
- 25,470
Daraja "flyover" chini ya ujenzi huko Kangemi, Nairobi Kenya limeporomoka mida hii. Watu wanne wameokolewa wakiwa na maumivu makali huku wengine wakihofiwa kufunikwa na kifusi.
Chanzo: kenyans.co.ke
Chanzo: kenyans.co.ke