Daraja chini ya ujenzi laporomoka huko Kenya

Huku Kenya hatufichi habari ata kifo kiwe cha nani.
No deaths reported.
Screenshot_20210621-210120.jpg
 
Wee tangu lini mtu amesoma linguistics, halafu anaenda university kusomea civil engineering.
 
Jamaa amejificha anasubiri alete majigambo tu. Kwa mfano kwenye Global Peace Index 2021 kwa Africa Tanzania ipo top ten lakini hatuna haja ya kujisifu, ingekuwa imetokea kwa hawa nyang'au leo tusingelala.

🤣🤣🤣

Tangu nimpe ile taarifa ya kwamba 50+% of Nairobi buildings are not fit for human habitation. Sijamuona tena.
 
2 Reactions
Reply
Back
Top Bottom