Jambo la kawaida sana hilo mkuu.Wakandarasi wengine wanalalamika malipo, sijui kweli au uongo.
ExactlyJapokuwa hakika sina lakini nadhani ndilo litakuwa lenye urefu ongozi kwa madaraja yaliyopo kwa sasa hapa Tanzania.
Mwenye karamani kake akaweke hapa tuone sengerema inavyoungana na musungwi na nyamagana
Wazibe midomo.
Kilomita 3. Ndilo litakuwa refu duniani (Afrika mashariki na kati)Japokuwa hakika sina lakini nadhani ndilo litakuwa lenye urefu ongozi kwa madaraja yaliyopo kwa sasa hapa Tanzania.
Likawa kama la Kigamboni...angalau hata wangesema kwa wateja wa NSSF wawe wanapita bure kwa kuwa ni sehemu ya uwekezajiLisije likawa lakulipia tukaanza kujutia uwepo wake maana CCM kuwaamini Yataka roho ngumu
Wami toka Juni mkataba wa kujenga ulishasainiwa, litakuwa na urefu wa mita 500Mshindwe tu kuvuka wenyewe madaraja yamewekwa kila sehemu.
Wami pia wangelitazama.
Wami toka Juni mkataba wa kujenga ulishasainiwa, litakuwa na urefu wa mita 500
kwa misukule ya lumumba nikawaida dalaja kugeuzwa biasharaHata kama litalipiwa bado ni msaada mkubwa kuokoa muda.
WachinaOooh wachina au watu gani wanalitengeneza?
Sawa, asante kwa taarifa.Wachina
Kakudanganya bwana, maana tenda ndio kwanza imetangazwa!!!Sawa, asante kwa taarifa.
Hapana mkuu wewe ndiye unanidanganya. Tunazungumzia Wami.Kakudanganya bwana, maana tenda ndio kwanza imetangazwa!!! View attachment 977889