hippocratessocrates
JF-Expert Member
- Jul 1, 2012
- 3,598
- 1,539
Labda mtasomba tena watu hiyo kesho kutwa.
Watu wa dar wana uniform za green & gold? Ukweli ni kwamba huo ni mkusanyiko wa ccm zealots wanaoishi dar & pembezoni (wengine watakuwa wametoka Bagamoyo, Chalinze, Mkuranga, nk).
Mtoa post Acha uongo.. Jangwani haipo ivo, napita now morogoro Road mkutano umedoda
Mmmekubali kushindwa sio? Lowassa ndiye Rais kuanzia tarehe 27.10.2015.Mkuu nadhani imefika wakati itabidi tuweke silaha chini tunyanyue mikono juu..game over
Lowassa leo kadoda, KAZOMEWA MORO yeye na SUMAYE