Dar Yaongoza Ndoa Kuvunjika

Nipo Ndoani mwaka wa 7. kuna vipindi kadhaa ndoa yangu iliyumba,natoa sababu Practicla toka kwangu

1. Uminifu Kwa mwanamke au Mwanume. kuna kipind wife alicontact na Xwake, kuna kupindi nilifanya hivyo ikayumbisha sana ndoa na matunzo ya watoto. Yes nimwai kumcheat wife na yeye alifanya hivyo nilifanya kosa na yeye alifanya tukakubalia tusirudie we are Good now japo simsemei

2.Kukosa Uvumilivu. kama wote kwa pamoja mkikosa hii kitu mnajikuta kila mtu anafanya lake ndoa inavunjika mapema tuu.

3.Kukokesana coalition of willing. wengi wanaingia kwenye ndo si kwa makubuliano yao, but wakuta mmoja yuko willing wa pili anafuata mkumbo. hii unakuta unamahusiano na mtu yeye au wewe unampenda sana kiasi cha kukufanya uingie kwenye ndoa lakini upande mwingine hauko tayali toka moyoni but unaingia, unakuta mwingnine kaumizwa huko basi akitokea yoyote anaingia ndoani

3. Hali ya uchumi. kuna kipindi niliyumba sana nikakuta wife anapoteza hamu na wewe, inumizaga sana kuna kipindi nakapiga kaisi kingi cha pesa najiku sina hamu ya kurudi nyumbani, Pia hali ya uchumi inawafanya watu wengi wawe bize kutafuta pesa na kufanya ndoa kuyumba na upelekea pande zote kutokuona umuhimu wa ndoa.
Hapa pia unakutana wakiana mama akimama walifakiwa na wanamiasha yao, wale wali kwenye ndoa anaona kumbe inawezekana ehhh kuishi bila mwanaume kufakiwa inapeleaka kuwa na jeuri au kiburi flani

4.Utawandawazi unachangia kwa kiasi flani, Haya mambo ya Vibamia, tigo na mapicha ya ngono yanahamisha watu kwenda kujaribu au ya kupeana hadithi humu sijui wanawake wa kabila falni watamu au wanaume wa kabila flani mashine, unakuta mwanandoa anataka kwenda kujaribu na aone ahaha h ahh hapo ndo unakutana na Tamaa ya kimwili.

Kingine watu wengi wanaingia kwenye ndoa na Mawazo ya Ngono ,
It's true...!! Hapa kwenye uchumi ni facts kubwa sanaa...
 
Ndoa zina mitihani.
Mimi na mke wangu tulifuata taratibu zote za ndoa.Isitoshe sisi ni waumini wazuri sana, na tunamwamini Mungu , lakini changamoto hazikosi. Hali ilikuwa imekuwa mbaya sana mwishowe tulikubaliana tufunge ndoa upya! Hivyo tukazika tofauti zetu na kuanza upya.
 
Watasema yoteeee ,yatasemwa mengiiiii

Ilaaaaa Kuchepuka ndo kunaongoza kuvunjisha Ndoa.

Kuna Bidada ,nikiweka hapa scrnshots ,anavyonilalamikia kuhuhusu mumewe, anavyochepuka mpaka huyo mchepuko anadiriki kujipost mitandaon akiwa na mume wa huyu bidada...

Bidada naye, ananiambia anataka kuvunja ndoaa, nimimi tu ndo naendelea kumshauri atuliee, avute subira....

Aya Mnadhan Bidada kama huyu nikitaka Kumla ,nashindwa ????.

Aya nikishamla, sindo nayeye ananogewa, hatimaye ataamua kuvunja ndoa hata km mimi namshaur avumilie.

DUNIAA, DUNIA INAHARIBIKA SABABU WANAUME WAMEJISAHAU SANAAAAA.

Mapenzi yamekua mepesi, ndoa zimekua sio kitu tena, kale kathaman ka ndoa hakapoooo, now days wanawake nibora wazae, lkn ndoa ni km egemeo tu kwao.

Au nasema uongo ndugu zangu

Bro nakubali kinoma nyuzi zako miaka ya kobe kwako
 
95% ya wanaume wa Darisalama hawana nguvu za kiume kutokana na lifestyle zao na vyakula wanavyokula.
Unategemea ndoa zidumu kweli??
Kwa hiyo hao wavunja-ndoa wanaenda kuchepukia hukoo mikoani penye supposedly nguvu nyingi za kiume!???
 
Ndoa ni mkataba baina pande mbili. Wazazi wa mwanamke na wazazi wa mwanaume... Na makubaliano hakisha patikana panawekwa mhuri wa Mungu. Kama shahidi namba Moja....

Siku hizi Vijana wa leo awe mwanaume au mwanamke wanachukuliana barabarani ndani ya ma guest na mabar na hadi kwa kupitia mitandao. Kisha wanaenshi kwa unyumba.

Bila kutambuliana ndani ya familly zao pande zote mbili.. Kwa hiyo ni jambo la kawaida kwa binadamu kua na matamanio na maamuzi ya kubadilika. Vitu hizi mbili zikikutana mara moja kila moja anavuta upande wake
Exactly. Namna mlivyoingia ndivyo mtakavyotoka, ama lazima tu mtatokea mlango mlioingilia.
 
Kuna mtu aliwahi niambia naolewa ili watoto wangu nitakao wazaa wapate malezi ya pande zote mbili..ila huyu mwanaume sijui kama nitakuja kumpenda...nikabaki🙄🙄
 
Kutomtanguliza Mungu n 7bu mojawapo
Jambo lolote bila MUNGU matokeo yake n hasara, hata biashara pia.
People wamemtelekeza Mungu mwenye gundi ya upendo inayounganisha ndoa na kuishikilia pamoja familia na jamii, then all of a sudden wanategemea ndoa iji-sort out yenyewe!??? Futile, fruitless and pathetic!
 
Kuna mtu aliwahi niambia naolewa ili watoto wangu nitakao wazaa wapate malezi ya pande zote mbili..ila huyu mwanaume sijui kama nitakuja kumpenda...nikabaki
So, mpaka anakaribia kuolewa upendo bado ulikuwa ungali unakuja hukoooo mbeleni, siyo!??? Hatare na robo.
 
1.Moja social media -----+> unakuta mtandao unakuwa kitu cha kumliwaz mwanandoa kinyume kabisa na ndoa inavyotak

2.Mbili laana inayopatikan kanisan Wanandoa wanapofunga ndoa kwan unakuta wengi wao wameshazin ambavyo nikinyume na misingi yaa ndoa Koo baraka ya ndoa inakua laan

3. Hekima ya ndoa hakun kizaz cha hiv karibun Kila mmoja ni mjuaji
 
Watasema yoteeee ,yatasemwa mengiiiii

Ilaaaaa Kuchepuka ndo kunaongoza kuvunjisha Ndoa.

Kuna Bidada ,nikiweka hapa scrnshots ,anavyonilalamikia kuhuhusu mumewe, anavyochepuka mpaka huyo mchepuko anadiriki kujipost mitandaon akiwa na mume wa huyu bidada...

Bidada naye, ananiambia anataka kuvunja ndoaa, nimimi tu ndo naendelea kumshauri atuliee, avute subira....

Aya Mnadhan Bidada kama huyu nikitaka Kumla ,nashindwa ????.

Aya nikishamla, sindo nayeye ananogewa, hatimaye ataamua kuvunja ndoa hata km mimi namshaur avumilie.

DUNIAA, DUNIA INAHARIBIKA SABABU WANAUME WAMEJISAHAU SANAAAAA.

Mapenzi yamekua mepesi, ndoa zimekua sio kitu tena, kale kathaman ka ndoa hakapoooo, now days wanawake nibora wazae, lkn ndoa ni km egemeo tu kwao.

Au nasema uongo ndugu zangu
Husemi uongo ,mi 5 tena mpaka kueleweke
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom