ZINDAGI
JF-Expert Member
- Dec 5, 2015
- 1,117
- 1,425
Na.mipaka imefungwa hatoki mtu, huu ndio wakati mzuri wa kuipata chain nzima ya ndani.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
Wanaigeria bongo wanatutesea watoto wetu
Unafikiri pesa ya utumishi wa umma inatosha ? Labda awe mwanasiasaduh!!..huyo alistair mbele sijui ni tamaa au kitu gani.
hakuwa wa kujiingiza kwenye biashara hii haramu maana kama elimu anayo na pesa ya kula na ya kuvimbia mjini pia alikuwa nayo. licha ya hivyo mshua wake ambae kwa sasa ni marehemu alikuwa ni senior academician wa chuo kikuu.
Nenda kamuekee dhamana mshikaji wakondio yeye huyo, nimechezea naye sana basketball na ku hang nae maeneo ya bata.
umesomeka mzee maana nina usafiri wa gharama wasije wakaiba power window nahitaji sehemu yenye ulinzi kidogo
Sasa mbona wamemtangaza ?Mkuu tulia,yawezekana ametumiwa tu na system kufikia malengo yakumnasa mtuhumiwa.
Sent using Jamii Forums mobile app
oi nataka mikapange chumba kinondoni niishi japo miezi sita ili nizione vurugu za kinondoni.sehemu gani nzuri pa kishua kidogo naweza pata chumba kizuri
Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa librarian Hana pesa , no safari no per diem , may be Kama Mzee wake aliacha vitu ndio ategemee anyway hiyo sio excuse ya kufanya hivyo alivyofanyaAtakua Don Segerea. Mpaka atoke lazimanaukwae unyapara. Halafu siku hizi hakuna kupelekeana chakula. Uwe Don, uwe mnaija au mngoni. Wote ugali nyama asubuhi na jioni.
Kuna watu walishaathirika na madawa ya kulevya ukifuatilia utagundua kuwa malezi ya wazazi yalikuwa siyo
Acha kulialia, ukweli unabaki kuwa huo...mtu akikosa malezi bora, ilaumiwe familia yake kwa tabia yoyote mbaya.Hongera kwa kulea watoto wako vizuri mkuu, suala la malezi lina mambo mengi, katika hatua fulani linahusisha mtoto mwenyewe, mzazi na jamii pia. hujawahi kuona familia ya watoto wa nne, watatu wana maadili mmoja ameshindikana kabisa, Hilo pia unalisemeaje? Kwamba wengine walilelewa vizuri huyu mwingine aliachwa?
Be realistic, haufahamu kuwa kuna mitaa watoto wanaokua huwekwa kwenye target kwa namna yoyote ili wanaswe wawe wateja? Kuwa serious kidogo kujadili mambo wide kwa mtazamo finyu.
Hivi huyo Professor Amoni Mbele ni ndugu na Professor Joseph Mbele?pole madam, mie mdogo wangu wa kunifata kabisa ameharibiwa na haya makitu.
kama si bahati mbaya mmoja wa watuhumiwa kwa ubini wake ni mtoto wa Mzee na rafiki yangu Marehemu Prof. Amon Mbele, mwanataaluma na mtu wa haki na muwazi kusema analoona ni sahihi.
Tofautisha hawa ma ProfessorNi mtoto wa prof mbele kweli mbona baba yake karelax tu tulikuwa nae kwenye mnakasha fb leo.
Ila ajabu sura zao hazifanani na hizo pesa.Kilo moja ya heroin ni wastani wa millioni 50,kila Mia 270 ni billioni 1.3.....huo ni mzigo mkubwa sana
Sent using Jamii Forums mobile app
Hao ni VIDAGAA wenye MchangaIla ajabu sura zao hazifanani na hizo pesa.
Ule unga hua unapelekwa kuunganaHivi baada ya kesi kwisha huo unga huwa unapelekwa wapi...?
Embu fafanua ni aina gani ya malezi inayompelekea mtoto kuingia kwenye matumizi ya dawa za kulevyaKuna watu walishaathirika na madawa ya kulevya ukifuatilia utagundua kuwa malezi ya wazazi yalikuwa siyo