Tony antony
JF-Expert Member
- Nov 17, 2013
- 4,988
- 3,270
Mtahangaika sana lakini mwaka huu ccn kwishney .
TOROKA UJE unasubiri huko ccm?
Yaan Nipoteze Muda Wangu Vocha Yangu Kumpigia Kampeni Huyu Edo Kwa Lipi Labda Angekuwa Dr Slaa Sio Huyu Kura Yangu Ni Kwa Magufuli Full Stop
Wakuu kuna watu wanajiuliza kwanini Lowassa ana rudrud Dar es salaam, ,, Majibu mepesi ni Hapa ndio kuna kura za kutosha kuweka Msingi wa kura za kutosha
Na sie kama wakazi wa Dar a.k.a watu kuja,. Tunaanzisha kampeni inayoenda kwa ujumbe "ONGEA NA HOME LOWASSA AWE RAISI" hii ni kuwataka na kuwaomba wadau wote wa dsm kuwaomba maskani huko tutokapo watusaidie kujazia kura za Eddo hapa
Unachotakiwa kufanya ni rahisi sana kila jioni au ukipata muda Piga simu au Tuma sms home kuwakumbusha kumpigia Lowassa kura kwa msisitizo bila kujali Chama gani
Au vepeeee!Imani yetu ni kuwa watu wa dsm wanamzizi somewhere in TZ
Ni pushup pekee ndio itakupa ikulu.Makaratasi hayawezi kukupa ikulu
Ccm ndo wamekulelea?Hahaha Umebadili Tena Kutoka Tunaiga Hadi Tunaangaika!!Ni Hivi Mimi Kutoroka Siwezi Malezi Nnayoyapata Huku Ni Bora Zaid Kuliko Huko Kwenu
Hutaki unaacha....tunaotaka mabadiliko tutafanya yetuHuo ni ujinga ndo unakusumbua, usidhani watu wa Dar hawana akili kama ww, tunachagua kwa kumsikia kiongozi anavyo jipambanua, huu co muda wa kuuziwa mbuzi kwenye gunia bro. Usidhani Urais ni miezi mitatu na kumbuka urais haufanyiwi majaribio.
Wakuu kuna watu wanajiuliza kwanini Lowassa ana rudrud Dar es salaam, ,, Majibu mepesi ni Hapa ndio kuna kura za kutosha kuweka Msingi wa kura za kutosha
Na sie kama wakazi wa Dar a.k.a watu kuja,. Tunaanzisha kampeni inayoenda kwa ujumbe "ONGEA NA HOME LOWASSA AWE RAISI" hii ni kuwataka na kuwaomba wadau wote wa dsm kuwaomba maskani huko tutokapo watusaidie kujazia kura za Eddo hapa
Unachotakiwa kufanya ni rahisi sana kila jioni au ukipata muda Piga simu au Tuma sms home kuwakumbusha kumpigia Lowassa kura kwa msisitizo bila kujali Chama gani
Au vepeeee!Imani yetu ni kuwa watu wa dsm wanamzizi somewhere in TZ
Wakuu kuna watu wanajiuliza kwanini Lowassa ana rudrud Dar es salaam, ,, Majibu mepesi ni Hapa ndio kuna kura za kutosha kuweka Msingi wa kura za kutosha
Na sie kama wakazi wa Dar a.k.a watu kuja,. Tunaanzisha kampeni inayoenda kwa ujumbe "ONGEA NA HOME LOWASSA AWE RAISI" hii ni kuwataka na kuwaomba wadau wote wa dsm kuwaomba maskani huko tutokapo watusaidie kujazia kura za Eddo hapa
Unachotakiwa kufanya ni rahisi sana kila jioni au ukipata muda Piga simu au Tuma sms home kuwakumbusha kumpigia Lowassa kura kwa msisitizo bila kujali Chama gani
Au vepeeee!Imani yetu ni kuwa watu wa dsm wanamzizi somewhere in TZ
Kwani umelazimishwa?Dr.Slaa alikuwa nani?
"mama Ongea Na Mwanao Magufuli Rais"
Huo ni ujinga ndo unakusumbua, usidhani watu wa Dar hawana akili kama ww, tunachagua kwa kumsikia kiongozi anavyo jipambanua, huu co muda wa kuuziwa mbuzi kwenye gunia bro. Usidhani Urais ni miezi mitatu na kumbuka urais haufanyiwi majaribio.
Kampigie nani kakuomba umpigie kampeni lowasa hili raru la wapiYaan Nipoteze Muda Wangu Vocha Yangu Kumpigia Kampeni Huyu Edo Kwa Lipi Labda Angekuwa Dr Slaa Sio Huyu Kura Yangu Ni Kwa Magufuli Full Stop
shetaniMakaratasi hayawezi kukupa ikulu
Makaratasi hayawezi kukupa ikulu