Mikopo Chefuchefu
JF-Expert Member
- May 15, 2017
- 3,373
- 6,805
Uwanja wa Njombe ni mfupi sana. Inafaa uwe na ndege ndogo kuweza kutua pale.Precision inaenda Njombe au ilikodiwa? Si dhani kama kuna uwanja wa kutua ndege za abiria Njombe labda Iringa nako ni hivi majuzi ndio wamepeleka Bombadia