DAR: Mwili wa mwanamke mmoja waokotwa COCO Beach

beth

JF-Expert Member
Aug 19, 2012
3,880
6,367
Baada ya kuzinduliwa vituo vya polisi vinavyohamishika tayari wananchi wa Masaki jijini Dar es Salaam wameanza kuonyesha ushirikiano wa kutoa taarifa za uhalifu katika kituo hicho.

Kufuatia wananchi kutoa ripoti mtu mmoja ambaye jina lake halikuweza kufahamika mara moja ambaye ni mwananmke mwili wake umeokotwa katika vichaka vya ufukwe Coco Beach karibu na kituo hicho cha Polisi.

 
Wafuatilie Majirani wenye CCTV Cameras ili kupata uhalisia wa Gari zilizoelekea huko mida ya usiku.Inawezekana aliuwawa kwingine na kutupwa huko
Au inawezekana alienda kujisaidia akakutana na Nyoka
 
Back
Top Bottom