Cherenganya
JF-Expert Member
- Jan 21, 2018
- 2,309
- 1,775
Mi mwenyewe juzi wamechukua simu yangu, dah hawa jamaa kweli inabidi tuwaundie tume
Kwa uchawi wa wale wavaa mapembe kwanini wasiumieHao wezi wakawaulize ndugu wa waliowahi kuiba Kanisa Katoliki pale Isman kwa Fr Anjelo!
Wawili walijiua na watatu wote ni vichaa.
Pana ccctv pale si wazirushe kwenye mitandao tu wezi wapatikaneHawana mda mrefu watakua machizi hao, au watakufa kabisa usicheze na mali ya MUNGU kabisa.
Hata kama wakiamua kusamehe tu, najua hilo linawezekana wanaweza wakasamehe tu na hiyo kesi wakamwachia MUNGU amini hao jamaa hasira ya MUNGU ita deal nao.Pana ccctv pale si wazirushe kwenye mitandao tu wezi wapatikane
Siku zote ukiibiwa kama hivi au kwenye boma lako, lazima mhusika ni mtu wa karibu, lazima...Itakua sio majambazi hao. Kuna namna hapo
umeambiwa kanisa halina geti? ulinzi kwako ni geti?poleni sana.
ni vizuri makanisa yakaboresha physical security ya mali zao.
Hata mbinguni kuna Mageti.
Kuna kitu inaitwa novena ni zaidi ya albadirWakatoliki hawana utaratibu wa kusoma kitu kama albadiri????