mop
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 867
- 651
Wizi makanisani haukuanza leo ulikuwepo miaka yoteDuh ni hatare hadi makanisani now
Wizi makanisani haukuanza leo ulikuwepo miaka yoteDuh ni hatare hadi makanisani now
NOVENA INAWAHUSUWakatoliki hawana utaratibu wa kusoma kitu kama albadiri????
nmecheka kwa nguvuBado sadaka zilikuwa kanisani hadi leo! Uzembe wa hali ya juu.
Itakua wametumwa hao,katika hali ya kawaida ni ngumu sana hioHee.sasa wamezidi.mpaka kanisani?
Nowadays kuna majambazi yanavamia jwa kuvunja kweli?poleni sana.
ni vizuri makanisa yakaboresha physical security ya mali zao.
Hata mbinguni kuna Mageti.
Hata wewe una jukumu kwenye hilo tukio usikae kusubiria majibu tu kutoka vyombo vya dola. Labda km na wewe ni mmoja wa hao weziNgoja tusubiri uchunguzi na majibu mepesi kwa vyomo vyetu vya dola
tunamitigate risk sio kuondoa kabisa mkuu wangu.Siyo sababu kijana wangu...
Nowadays kuna majambazi yanavamia jwa kuvunja kweli?
***
Nyumba ngapi zenye full security bado mnaibiwa?tena kwa sasa wanaiba kwa kuvizia au kuja wakifunguliwa mlango na mwenzao.
Hahaaa,Bwana Sunil Kachor.Paroko ni mhindi wa Goa?
Wanao kupiga hawajaisoma biblia vzr.ule mji ejengwa kwa yakuti, samawi, kalkedoni, amestho na mageti yake ni ya lulu na dhahabumuulize kiongozi wako mkuu. mimi nimeelezwa na bibilia ufunuo 21.
Hakuna waumini wa hilo kanisa humu watueleze huyu kanjbai KVP kawa paroko?? Asije kuwa yeye ndo kabeba na kutoa taarifa polisi.Hahaaa,Bwana Sunil Kachor.
Ndo utofaut wa uendeshaji wa makanisa ww ulitakaje??Sadaka hadi Leo zio tu church?