Dar: Magari 56 ya Wanafunzi yafungiwa!

Dar: Magari 56 ya Wanafunzi yafungiwa!

Kwanza nishukuru hatua zilizochukuliwa na jeshi la polisi! Huo ndio mwanzo wa uwajibikaji napendekeza pia ukaguzi ushiishie kwenye magari pia shule zingekugaliwa miondombinu na ubora wa walimu,maslahi ya walimu na vitendea kazi ikiwa ni hatua ya kujenga uwezo wa taasisi kuwa proactive instinstitutions than reactive! Hii itatupa picture pia ya kufanya forecasting ya kutosha kudeal na mambo mbalimbali ambayo kimsingi ni manufaa ya umma!
 
Endeleeni mengi ni vmeo hususan pembezon mwa JJ shule zlzo jificha ndani
 
So we have to loose more than 30+ souls of children for us to remember our responsibilities
 
Huenda tulalamike lakini heri kinga kuliko tiba
 
Back
Top Bottom