Roving Journalist
JF Roving Journalist
- Apr 18, 2017
- 2,746
- 11,875
Heshima kwenu wakuu,
Kuna nyumba inateketea kwa moto maeneo ya Kimara Baruti.
Chanzo inadaiwa ni Hitilafu ya umeme.
Natoa pole kwa mwenye nyumba.
Je, Watanzania tunayo tabia ya kukata bima kwa ajili ya nyumba zetu?
Kuna nyumba inateketea kwa moto maeneo ya Kimara Baruti.
Chanzo inadaiwa ni Hitilafu ya umeme.
Natoa pole kwa mwenye nyumba.
Je, Watanzania tunayo tabia ya kukata bima kwa ajili ya nyumba zetu?