Dar joto jamani khaaa

Dar es Salaam

Tuesday

20th Feb 2018



Min 24°C

Max 32°C

Wednesday

21st Feb 2018



Min 25°C

Max 32°C

Thursday

22nd Feb 2018



Min 24°C

Max 33°C

Friday

23rd Feb 2018



Min 26°C

Max 33°C

Halafu kwa joto kali la namna hii la ' Bongo / Dar ' bado unakuta kuna ' Lijitu ' kabisa linalazimishwa kwenda Kuoga huku lenyewe likiwa limedhamiria Kutokuoga.
 
Kichefuchefu wewe!
 
Joto hupunguza nguvu za kiume,ndo mana zinakuja nyuzi nyingi za vumbi la kongo kutoka kwa wanadarisalama
 
Sisi wa huku mjini mkoani hata hatuna tatizo ,nyie pambaneni tu na hali zenu
 
Poleni sana wanandugu.

Fanyeni maamuzi ya kuhamaia mikoani kama baba alivyoamua.

Ipo siku Mungu atashusha neema kwenu.
 
Kipindi cha JK, joto alikua kali kabisa, lakini sasa hivi Joto kali, nasubiri Mange atuambie nani kasababisha
 
Hili joto linaletwa na ccm sijui wanatupeleka wapi

Ficha I'd yangu
 
Ila msema kweli ni mpenzi wa mungu yeye anakoroma tu ukimwambia dar joto wala halisikii
 
Leo mchana ilifika kipindi ikabidi niwaulize google kiwango cha joto katika eneo nililopo wakaniambia ni 34° ila nahisi kama waliniongopea maana naona kama nipo kwenye sasayari ya mercury..na sijui ntalala wapi maana ndani hakulaliki.
 
Wale wanaojichubua na hili joto wanatamani wabadilishe ngozi
 
Aisee sisi huku wa Tandale, Manzese na Buguruni kipindi hiki tunalala nje na kuvikimbia vyumba vyetu.
 
Hata watumishi wakubwa kitaifa wa mungu Wapo Dar,huko mikoani kuna ibilisi na vizazi vyake
 
Kipindi km hiki ndio unapowaza uwe na kwako uweke na A/C.


Nalala uchi madirisha wazi cooler na feni vyote vinawaka
 
Kipindi km hiki ndio unapowaza uwe na kwako uweke na A/C.


Nalala uchi madirisha wazi cooler na feni vyote vinawaka
Utakua unakaa uzunguni. Sisi huku mtaani kwetu ukijaribu kulala hivyo utaamka asubuhi simu wamepita nayo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…