Dar es Salaam yapangiwa siku 12 za kuandikisha wapiga kura

jambo la muhimu jamani tujitokeze kwa wingi hizo siku kumi na mbili tatizo sisi wabongo bongo zetu zimelala sana unakuta mtu siku ya mwisho ndo anaenda kujiandikisha eti alikuwa busy . tubadilikeeereeeeeeeeeee
 
Zoezi la uandikishaji linaweza kufanyika hata kwa siku moja ikiwa kutakuwa na vifaa vya kutosha na watu watadhamiria kujiandikisha. Kumbuka Dar es Salaam ndio mkoa wa mwisho. Kwa maana hiyo kutakuwa namvifaa vya kutosha. Nawasihi wananchi wajitokeze mapema kujiandikisha. Wasilalamike tu ilhali Tume imejipanga vya kutosha

kwa mfano,hata ukichukulia kwamba ziletwe machine 3000 kwa wakati huo,na kila siku machine moja iandikishe watu 100,utaona kwamba unahitaji siku 12 hizo kuandikisha'''''.........sasa assume zikawa 4000(achilia mbali hizo 4000 zingine)
itakuwa hivi
4000 x 100=400,000 kwa siku

ninadhani siku hizo zinatosha kabisa
 
tatizo mikoa mingi wamelalamikia machine zina haribika mara utasikia zoezi la uandikishaji limesimama kwasababu wamesahau wino makao makuu.Sasa kwa DSM inabidi wajipange,yakitokea kama ya huko mikoani inaweza kuchukua hata mwezi mzima
 
tatizo mikoa mingi wamelalamikia machine zina haribika mara utasikia zoezi la uandikishaji limesimama kwasababu wamesahau wino makao makuu.Sasa kwa DSM inabidi wajipange,yakitokea kama ya huko mikoani inaweza kuchukua hata mwezi mzima

Kiukweli hili zoezi la uandikishaji ni karaha sana kama sio mvumilivu unaweza kata tamaa. Unakuja kituoni saa kumi alfajiri then mpaka saa sita mchana wala hujaandikishwa. Unatumia zaidi ya masaa10 kupanga foleni mwisho wa siku inashindikana. Niko kituo cha mahina kanyerere hapa.
 
tatizo mikoa mingi wamelalamikia machine zina haribika mara utasikia zoezi la uandikishaji limesimama kwasababu wamesahau wino makao makuu.Sasa kwa DSM inabidi wajipange,yakitokea kama ya huko mikoani inaweza kuchukua hata mwezi mzima

Kiukweli hili zoezi la uandikishaji ni karaha sana kama sio mvumilivu unaweza kata tamaa. Unakuja kituoni saa kumi alfajiri then mpaka saa sita mchana wala hujaandikishwa. Unatumia zaidi ya masaa10 kupanga foleni mwisho wa siku inashindikana. Niko kituo cha mahina kanyerere hapa kata ya butimba zoezi linaenda taratibu sana tena sana.
 
Kwa Dar ni shida watu wenyewe wengi ni mateja,vibaka ,machangudoa,wapiga debe na wachuuzi wengi jumlisha na umaskini pia na mwamko Mdogo Wa siasa ni shida kama ingekuwa yanga na simba Au kigodoro wangejiandikisha wengi
 
Watu wa Dar ni mashabiki wa mabonanza na promosheni za bia nunuwa 3 pata moja bure na sasa Pirsner lager wameshushiwa bei ni buku jero tu wanywe mpaka nguvu za kiume ziwaishe kabisa. Hopeless kabisa watu wa Dar hasa Ilala na Kinondoni.

Sasa ni senator, buku buku
 
Hizi ni siku 4 tu tena siku 4 za ugumu wa muda
Watu wengi nafasi ni weekend
Wengine weekend ni siku za kijamii,kifamilia,miradi binafsi na kuabudu
Mbaya zaidi itakuwa ni maandalizi ya Eid el Fitri
Mbaya zaidi itakuwa wiki ya saba saba
Subirini mtaniambia
 
Back
Top Bottom