hata mimi ninakitafuta pia!..
Mbona kwenye maktaba za shule za msingi hcho ktabu knapatkana? Mimi nilikpata kwenye primary schul library hku kwtu bush. Si hcho2, pia TUTARUDI NA ROHO ZETU, PESA ZAKO ZINANUKA, LAZIMA UFE JORAM, NAJISIKIA KUUA TENA, MIKONONI MWA NUNDA, MTABO WA MAUTI, ROHO ZA PAKA, Hata kile cha MHARIRI MSALABANI Kilcho kuwa kkielezea mkasa wa kweli "mkuu unatusaidiaje kupata hivyo vitabu"
vipi na kile kinachoitwa "sitaki kuzaa" nichake?Mbona kwenye maktaba za shule za msingi hcho ktabu knapatkana? Mimi nilikpata kwenye primary schul library hku kwtu bush. Si hcho2, pia TUTARUDI NA ROHO ZETU, PESA ZAKO ZINANUKA, LAZIMA UFE JORAM, NAJISIKIA KUUA TENA, MIKONONI MWA NUNDA, MTABO WA MAUTI, ROHO ZA PAKA, Hata kile cha MHARIRI MSALABANI Kilcho kuwa kkielezea mkasa wa kweli uliomsibu miaka ya nyuma, navingine vingi vya huyu bwana. Binafsi Nilikuwa namkubali sana bwna Ben na heko ingeneral. Mungu ailaze pema pepon i roho ya Ben R Mtobwa
vipi na kile kinachoitwa "sitaki kuzaa" nichake?