ibanezafrica
JF-Expert Member
- Oct 23, 2014
- 7,261
- 6,556
Wadau hii mvua ya siku3 non stop imenitisha sana mpaka nawaza isije tokea ardhi ikazidiwa na kiwango cha maji kupita kiasi kama kuna wataalam wa mambo ya geography watueleze kiundani juu ya kwa hili