jiwekuu770
JF-Expert Member
- Feb 12, 2015
- 2,247
- 1,635
Dar es Salaam ni mji wa Kibiashara Tanzania na ndyo jiji kubwa kuliko yote kwa East Africa (EAC/2020) ikifuatiwa na Mombasa.
Kama ulikua hujui miji yenye gharama za juu kabisa za maisha hii hapa.
1. Dakar-Senegal
2. Adis Ababa -Ethiopia
3. Abidjan -Ivory Cost
4. Harare -Zimbabwe
5.Johannesburg-South Africa
6. Pretoria-South Africa
7. Gaborone -Botswana
8. Cape town-South Africa
9. Durban -South Africa
10. Marrakesh -Morocco
11. Accra-Ghana
12. Lagos -Nigeria
13. Tangier-Morocco
14. Casablanca- Morocco
15. Kampala- Uganda
Kwa Africa Mashariki Kampala ndio mji wenye gharama za juu kabisa za maisha.
#Nini mawazo yako kwa uzoefu wako juu ya hizi nchi na miji yake?Unakubaliana au Unakataa !! Tuambie kwene comment.
source: 15 most expensive cities to live in Africa, according to latest stats for Q1 2022
Kama ulikua hujui miji yenye gharama za juu kabisa za maisha hii hapa.
1. Dakar-Senegal
2. Adis Ababa -Ethiopia
3. Abidjan -Ivory Cost
4. Harare -Zimbabwe
5.Johannesburg-South Africa
6. Pretoria-South Africa
7. Gaborone -Botswana
8. Cape town-South Africa
9. Durban -South Africa
10. Marrakesh -Morocco
11. Accra-Ghana
12. Lagos -Nigeria
13. Tangier-Morocco
14. Casablanca- Morocco
15. Kampala- Uganda
Kwa Africa Mashariki Kampala ndio mji wenye gharama za juu kabisa za maisha.
#Nini mawazo yako kwa uzoefu wako juu ya hizi nchi na miji yake?Unakubaliana au Unakataa !! Tuambie kwene comment.
source: 15 most expensive cities to live in Africa, according to latest stats for Q1 2022