Roving Journalist
JF Roving Journalist
- Apr 18, 2017
- 4,783
- 14,975
Mada hii itakuwa na 'Updates' mbalimbali za Kuelekea Uchaguzi Mkuu wa Mwaka 2025 kama yanavyotujia kutoka kwenu kutoka mkoa wa PWANI. Ukiwa na taarifa yoyote ambayo ni ya eneo hili tafadhali usisite kushiriki na wengine.
Ramani ya Jiji la Dar es Salaam
HISTORIA YA JIJI LA DAR ES SALAAM
Jiji la Dar es Salaam lilianza kama kijiji kidogo cha wavuvi kilichojulikana kama Mzizima. Kijiji hiki kilianzishwa na Wabalawa ambao walichanganyika na Wazaramo kuelekea kwenye maeneo ya Bara la Afrika Mashariki na ambazo zilijulikana kama ‘Caravan Routes’. Ujenzi wa makao ya Sultani pamoja na bandari ulianza rasmi mwaka 1865 katika eneo la kijiji cha Mzizima. Ujenzi huo ulikamilika mwaka 1866 na Sultani Majid bin Said kuhamia Dar es Salaam mwaka huo.
Matukio yaliyojili kwenye uchaguzi wa serikalo za kitaa 2024 angalia hapa LGE2024 - Special Thread: Orodha ya Nyuzi za Mikoa yote Tanzania Bara inayoshiriki katika Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024
HALI YA KISIASA
Mkoa wa Dar es Salaam una majimbo 10 ambayo yote Wabunge wake wote wanatokea Chama cha Mapinduzi (CCM) kwa mujibu wa uchaguzi mkuu wa mwaka 2020.
MAJIMBO YA JIJI LA DAR ES SALAAM
Ramani ya Jiji la Dar es Salaam
HISTORIA YA JIJI LA DAR ES SALAAM
Jiji la Dar es Salaam lilianza kama kijiji kidogo cha wavuvi kilichojulikana kama Mzizima. Kijiji hiki kilianzishwa na Wabalawa ambao walichanganyika na Wazaramo kuelekea kwenye maeneo ya Bara la Afrika Mashariki na ambazo zilijulikana kama ‘Caravan Routes’. Ujenzi wa makao ya Sultani pamoja na bandari ulianza rasmi mwaka 1865 katika eneo la kijiji cha Mzizima. Ujenzi huo ulikamilika mwaka 1866 na Sultani Majid bin Said kuhamia Dar es Salaam mwaka huo.
Matukio yaliyojili kwenye uchaguzi wa serikalo za kitaa 2024 angalia hapa LGE2024 - Special Thread: Orodha ya Nyuzi za Mikoa yote Tanzania Bara inayoshiriki katika Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024
HALI YA KISIASA
Mkoa wa Dar es Salaam una majimbo 10 ambayo yote Wabunge wake wote wanatokea Chama cha Mapinduzi (CCM) kwa mujibu wa uchaguzi mkuu wa mwaka 2020.
MAJIMBO YA JIJI LA DAR ES SALAAM
- Jimbo la Kinondoni
Jimbo la Kawe
Jimbo la Ilala
Jimbo la Segerea
Jimbo la Ukonga
Jimbo la Temeke
Jimbo la Mbagala
Jimbo la Kigamboni
Jimbo la Ubungo
Jimbo la Kibamba
UPDATES
JANUARI- Kitila Mkumbo: Nimejipanga vilivyo kugombea Ubunge 2025, msije kudharau nyoka mdogo sumu ni ile ile!
- Serikali yawahakikishia wananchi Uchaguzi Huru na wa Haki 2025
- Waziri Ulega akagua matengenezo ya barabara ya Samora usiku
- Dkt. Slaa akamatwa usiku huu nyumbani kwake Mbweni
- Jimbo la Ilala mnamtaka Haji Manara awe mbunge wenu? Kuna ujumbe wenu hapa
- Tamko zito la vijana CCM wa vyuo vikuu waunga mkono Rais Samia na Dkt.Mwinyi kugombea urais 2025
- Dkt. Slaa akamatwa usiku nyumbani kwake Mbweni
- Dkt. Slaa afikishwa mahakamani Kisutu kwa Shtaka la kusambaza taarifa za Uongo
- Mbowe: Kipindi cha Magufuli biashara zangu ziliharibika nikaomba likizo kutoka Chadema ili niweke mambo yangu sawa wenzangu wakanikatalia
- Katiba ya CHADEMA inaruhusu hizi kampeni zinazofanyika hapa nje kwenye ukumbi wa Mllimani City?
- Wassira: Hatukuahidi kuachia madaraka baada ya muda tulipopata uhuru. Hatutumii jeshi kubaki madarakani, tunachaguliwa
- Wasira: Wanaosema tumekaa miaka 60 hakuna tulichofanya tuwasamehe hawajui wanachosema
- Lissu: Mbowe alivyotoka gerezani alibadilika, akasema hawezi kutuambia kila kitu alichozungumza na Rais
- Jeshi la Polisi lazingira Ofisi ya Makao Makuu CHADEMA Mikocheni na kuzuia Mkutano wa Mnyika na Waandishi wa Habari
- Wabunge viti Maalum waliohudumu kwa miaka 10 wapishe wengine kuchochea mabadiliko chanya, wasiwe ving'ang'a
- Kamanda Muliro: Tumejipanga kuimarisha ulinzi Uchaguzi wa CHADEMA. Sisi sio wageni hapa Mlimani City, wanaoshangaa ndio wageni
- Pre GE2025 - Makamu Mwenyekiti wa Wamachinga Tanzania: Wafanyabiashara wadogo tuko pamoja na Samia 2025. Tuko tayari kwa lolote
- Yanayojiri Uchaguzi Mkuu CHADEMA 2025: Tundu Lissu ashinda nafasi ya Mwenyekiti CHADEMA Taifa kwa Kura 513 sawa na 51.5%
- Mbowe: Kipindi cha Magufuli biashara zangu ziliharibika nikaomba likizo kutoka Chadema ili niweke mambo yangu sawa wenzangu wakanikatalia
- Mbowe: Magufuli aliniambia niachane na CHADEMA, na atanirudishia kila kitu changu kilichopotea au cheo chochote
- Mbowe: CHADEMA ni kubwa kuliko mtu yeyote
- Lema: Wajumbe mkipewa pesa au chakula chukueni kwenye kupiga kura wachinjeni. Mchagueni Heche kwenye Umakamu Uenyekiti
- Lema: Ukiona mtu anataka kununua uongozi ambao hauna mshahara jua kuna mshahara analipwa kwaajili ya uongozi huo
- Mbowe atoa neno baada ya matokeo, awaagiza wateule kufanya upatanisho
- Mbowe: Lissu kusema hajui nilichozungumza na Rais ni Umbea
- Lema: Sitagombania ubunge Arusha mjini
- Mbowe: Kuna kitu nataka nikisukume, wanaotamani nipumzike huruma inatoka wapi?
- Wasanii wakata Keki ya birthday ya Rais Samia na kutoa zawadi ya Mitungi Soko la Feri! Wakitoka hapo wanapitisha kikombe!
- Mpaka yanatumika magari kutangaza birthday ya Rais Samia lakini bado kiki imebuma. Safari hii watanzania wamenuna kwelikweli!
- Video: Lissu amchabanga mwandishi wa Clouds, 'unaonekana hufuatilii kabisa maneno ninayozungumza na Media'
- Nafasi ya Makamu Mwenyekiti Zanzibar kurudiwa baada ya kutokuwa na mgombea aliyefikisha zaidi ya 50%
- Lissu aongea baada ya ushindi CHADEMA, asema Mbowe aliahidi uchaguzi wa huru na haki na ametenda
- Mwenyekiti Uchaguzi CHADEMA: Wajumbe wasiruhusiwe kuwa na simu wakipiga kura, kura ikiwa na alama isihesabiwe
- Hilda ahoji mapenzi ya Polisi kwa CHADEMA yanatoka wapi wakati wakiwa kwenye mikutano yao au maandamano huwapiga virungu?
- Mwamakula: Wajumbe wameambiwa kuipiga picha au kuweke alama karatasi ya kura kama ushahidi wa kuongezewa pesa baadaye
- Cyprian Musiba: Polepole, Bashiru warudishwe kupambana na CHADEMA ya Lissu
- Musiba: Kuna watu CCM hawajakubali Rais Samia kugombea Kiti cha Urais 2025
- Aliyetuhumiwa kupanga kumfukuza John Mrema CHADEMA akanusha
- VIDEO: Godbless Lema afichua mbinu alizotumia kumuombea Lissu Kura za Uenyekiti CHADEMA Taifa
- Tundu Lissu amteua Lema kuwa wakala wake uchaguzi CHADEMA
- Tundu Lissu afunguka kuacha wazi nafasi moja ya Mjumbe wa Kamati Kuu, asema siyo ya Dkt. Slaa, wala Mgombea Urais, wala mtu kutoka CCM
- Lissu amjibu Wasira. Asema Uchaguzi Mkuu usogezwe mbele kupata Katiba Mpya, vinginevyo watazuia uchaguzi kwa maandamano
- Musiba: Kuna watu CCM hawajakubali Rais Samia kugombea Kiti cha Urais 2025
- Mnyika ampongeza Mbowe kwa kugharamia shughuli zote za Uchaguzi CHADEMA
- Odero amesema ile kura moja aliyoipata ni ya mpiga kura, hata yeye hakujipigia Kura Uchaguzi CHADEMA
- Cyprian Musiba: Polepole, Bashiru warudishwe kupambana na CHADEMA ya Lissu
- Baadhi ya wanachuo wapinga hoja ya Tundu Lissu, ya "No Reform No Election", wasema sio kisemeo cha Taifa
- Musiba: CCM walikusanya wasanii Dodoma bila faida na CHADEMA haikuzimwa
- Rais Samia amzawadia TSh Milioni 5 aliyewaokoa Watumishi wa TRA waliovamiwa Tegeta
- Wizara ya Habari na Michezo pamoja na BASATA kuja na Tamasha la Kadansee la Mama Samia!
- Jeshi la Polisi lazingira Ofisi ya Makao Makuu CHADEMA Mikocheni na kuzuia Mkutano wa Mnyika na Waandishi wa Habari
- Wakili Madeleka: Kisutu kuna danadana za kumnyima haki ya dhamana Dkt. Slaa tumeenda Mahakama Kuu
- Watangazaji Crown FM wageuza kauli ya "Mitano Tena" pambio kwenye kipindi, kweli wataweza kukemea uovu hawa?
- Spika Tulia Ackson: Natamani kumuona Manara bungeni. Naibu Spika akistaafu siasa nitamshauri Manara akagombee
- Heche amchana RC Chalamila, kisa kauli ya mjamzito anayegoma kununua gloves, adai wamejisahu kwasababu ya shibe ya kijinga
- Hashim Rungwe wa CHAUMMA: Sifanyi mkutano wa hadhara chama changu hakina fedha
- Hashim Rungwe: Kama wanajeshi wanapata chakula, wanafunzi wapewe pia
- Mahakama Kuu yaagiza dhamana ya Dkt. Slaa ishughulikiwe haraka
- Lissu: Dkt. Slaa ni tishio kiasi gani kama sio ukandamizaji, tunahitaji kutengeneza nchi mpya kukomesha uonevu
- PICHA: Tundu Lissu aongezeka jopo la Mawakili kumtetea Dkt. Slaa Kisutu, kesi ya kusambaza taarifa za uongo
- LHRC: Mamlaka itoe haki ya dhamana kwa Dkt. Slaa, ni haki yake
- Oscar Oscar: Tunao muda wakupata Sheria mpya za Uchaguzi kabla ya Oktoba, upelekwe mswada wa dharula
- Kamba: CHADEMA inapandikiza chuki kwa vijana na wazee kwa maslai yao binafsi
- Tundu Lissu afunguka kuacha wazi nafasi moja ya Mjumbe wa Kamati Kuu, asema siyo ya Dkt. Slaa, wala Mgombea Urais, wala mtu kutoka CCM
- Diwani wa kata ya Zingiziwa: Nipo tayari kukosa udiwani kuliko kushuhudia Jerry Silaa anakosa Ubunge katika uchaguzi ujao
- CUF wamtaka Prof. Ibrahim Lipumba aachie ngazi akafanye majukumu mengine nje na siasa, wanadai anaua chama yeye na genge lake
- Msajili wa Vyama vya Siasa alalamikiwa kusimamia uchaguzi feki wa TLP
- Tanzania Labour Party (TLP) kimeumana; uongozi mpya kuburuzwa Mahakamani
- Wakili Mwanaisha Mndeme atangaza kugombea Ubunge jimbo la Kigamboni kupitia ACT Wazalendo. Ataweza kumrithi Ndugulile?
- UVCCM - Temeke yawakumbuka wenye uhitaji kuadhimisha miaka 48 ya CCM
- Lissu: Uchaguzi mkuu 2020 CCM walipewa kura feki zaidi ya milioni 2, CHADEMA 100k+
- Baada ya kumuweka kwenye bango la comedy Rais Samia awekwa kwenye bango la Valentine's. Chawa wanampoza baada ya kuumudhi
- Picha; Haya mashindano yaliyopewa jina la Samia Cup, Rais anayafahamu kweli? Tukisema CCM wameanza kampeni huwa mnakataa nini?
- Steve Nyerere akusanya wasanii na viongozi wa dini kugawa mitungi bure kwa wakina mama ili "kuunga mkono juhudi" za Samia
- Wasanii wa Injili wakiongozwa na Mwamposa wajipanga kukutana Mlimani City kumuombea Rais Samia!
- Makamu Mwenyekiti BAVICHA: Chalamila mimi sio saizi lakini lazima nikujibu
- Mchungaji Clear Malissa atangaza kufanya maombi Uwanja wa Uhuru kwa vyama vya CHADEMA, CCM na ACT kuelekea Uchaguzi Mkuu
- Lissu: Tutazuia uchaguzi kwa njia mbalimbali ikiwemo maandamano kama hakutokuwa na mabadiliko
- Lissu awashangaa wanaohoji ushiriki wa viongozi wa dini kwenye siasa, ameeleza kuwa sekta ya dini ina mchango mkubwa kwenye siasa
- Lissu ahoji Rais anapata wapi pesa za kugawa kwa viongozi wa dini? kwa mshahara gani?
- Lissu amesema kuwa yeyote mwenye macho ya kuona anajua kuwa chaguzi za nchi hii zimekuwa za hovyo
- Nabii Edmund Mystic: Watanzania epukeni mashinikizo yoyote yanayoweza kuhatarisha usalama wa nchi kuelekea uchaguzi mkuu 2025
- Rais Samia ameahidi kujenga Msikiti wa Kisasa Vigwaza/Migude wenye hadhi ya Rais. Sheikh Walid ampigia debe urais 2025
- NCCR Mageuzi wasema hawapo tayari kuunganisha nguvu na chama chochote cha upinzani
- DAWASA: Usambazaji wa maji Kinondoni wafikia 97%, Je, ulipo bado kuna shida ya maji?
- Wasanii wa Bongo movie waliokuwa CHADEMA wahamia CCM
- Wassira aihakikishia Marekani uchaguzi kuwa huru na haki
- Tundu Lissu: Ilituweze kushinda uchaguzi lazima tuwe na bunduki kama wao. Ikulu ndio inaamua wizi wa kura
- Tundu Lissu: Tuna upungufu wa kutisha wa fedha kwa ajili ya shughuli za Chama, msiniulize nimekuta nini, jibu halitakuwa zuri!
- CCM kutangaza utaratibu mpya ubunge viti maalum. Hoja za Lissu zimeanza kuwaingia?
- ADC yajipanga kuwang’oa madarakani CCM, waeleza kuhusu 'No Reform, No Election' ya Chadema
- ACT Wazalendo yajipanga kushirikiana na Vyama vingine na Taasisi kupigania Uchaguzi Huru na Haki
- Ester Bulaya: Hakuna chama chenye ukomo kwa nafasi ya Mwenyekiti
- Bulaya: Sikughushi nyaraka za kuingia bungeni na nilifuata taratibu zote ndani ya chama
- Bulaya asema CHADEMA inapopambania reform za uchaguzi siyo kwa ajili ya CHADEMA tu
- Esther Bulaya asema anaunga mkono kauli ya chama chake ya "No reform no election"
- Ester Bulaya: Mimi sio CCM ni CHADEMA. Utaratibu wa kutupeleka bungeni ulifuatwa hakuna aliyefoji
- Bananga (Katibu wa siasa na uenezi CCM, DSM) asema No reform No election ni kauli ya kiwendawazimu
- Lissu: Lembrus Mchome anachokifanya ni kutupotezea muda. Hakufika kikaoni, idadi ameijuaje?
- ACT Wazalendo: CCM siyo chama cha siasa tena. Zamani ilikuwa inatumia dola ili kuiba uchaguzi, sasa Dola inaitumia CCM kuiba uchaguzi
- Ally Bananga Katibu wa Siasa na Uenezi CCM Dar amkingia kifua Wassira kusinzia kwenye vikao "Hakuna dhambi mtu kusinzia
- Katibu Mkuu ACT Wazalendo, Ado Shaibu: Rais Samia ajitathimini
- Viongozi wa CCM Kinondoni yatoa mafunzo kwa viongozi 1200 kuelekea Uchaguzi Mkuu. Kuna nini nyuma na haya mafunzo?
- Chama cha NLD champongeza Rais Samia kuteuliwa kuwa mgombea Urais CCM. Viongozi waipinga "No Reform No Election" ya CHADEMA
- Tundu Lissu aendelea kusisitiza Wagombea CHADEMA, Unataka Ubunge ili iwaje? Watu wetu wanauawa kwa Risasi za Polisi!
- John Heche: Walimu walipwe vizuri, wasipewe vitenge vya 'Mama' bure, haya ni matusi kwa Walimu kuvaa mabango
- Makalla: Maamuzi yamefanywa na Mkutano Mkuu hata mi naogopa, Malisa kaondolewa kwa utovu wa nidhamu
- John Heche: Tumeamua kuhakikisha kwamba uchaguzi haufanyiki. Tutawashirikisha Viongozi wa dini, mashirika ya kimataifa, balozi na NGO's
- CHADEMA yadai kuzuiwa kufanya Mkutano katika kumbi za Hoteli ya Sea Cliff, uliopangwa kufanyika leo, Februari 27, 2025 Dar
- Dkt. Slaa: Niko tayari kurudi CHADEMA
- Katibu wa UVCM Dar awaonya vijana wa CCM kuhusu kujigawa kimakundi wanapoelekea kwenye Uchaguzi
- Godbless Lema: Mkakati wa Tone Tone ni mpango wa kuchangia fedha kwa chama kwa kutumia mifumo ya kidigitali
- Heche asema CHADEMA wana mpango wa kujenga chuo cha siasa
- Dr Slaa: Kilichonitoa CHADEMA 2015 sasa hakipo
- RC Chalamila: Simameni imara kumwombea Rais wetu, huwa inaniuma sana viongozi wa dini kusemana
- Sophia Simba: Wanawake waliokaa muda mrefu kwenye Viti Maalum waachie nafasi kwa vijana
- Heche: Wapo wana CCM wanaounga mkono 'no reforms no election'
- Kada wa CCM Sophia Simba: Enzi zetu hakukuwa na uchawa. Watu walikuwa wanapata vyeo kwa uwezo wao
- Tundu Lissu: Hatutasusia Uchaguzi, tutazuia uchaguzi kwa nguvu ya Umma, sio bila mabadiliko hatutashiriki uchaguzi
- Lissu: Tutazunguka nchi nzima kuwaambia Watanzania wasishiriki chaguzi za kutoana Kafara
- Lissu: Mabadiliko yakikubaliwa, Uchaguzi utaahirishwa na Bunge litarudishwa hata kama lilivunjwa
- Tundu Lissu: Kuwe na Tume ya Uchaguzi inayoshitakiwa ikikosea kwenye uchaguzi
- Tundu Lissu: Vyombo vya Habari havitendi haki kwa Vyama vya upinzani, vyote vinakuwa vya CCM
- Mshindi wa Pilau la 'Mama Samia' Kigamboni apewa zawadi ya Mtungi wa Gesi na Kiwanja
- Tunataka uchunguzi haraka kutekwa kwa raia wawili Kigoma na Dar es salaam na uzembe wa jeshi la polisi
- Chadema yapigilia msumari masharti ya kushiriki kwao, wakisisitiza 'No reform, no election'
- CHADEMA yakusanya zaidi ya Milioni 64 kupitia kampeni ya Tone Tone
- Wabunge wa Dar es Salaam wahamasisha uwekezaji mkoani kwao baada ya kujionea maendeleo Pwani
- Rais Samia awafuturisha watoto yatima, wenye mahitaji maalumu Ikulu
- Odero: Leo hii Mbunge akisimama kuzungumza Bungeni jambo la kwanza ni kumshukuru Rais kwa kuleta Fedha, Fedha za umma zimegeuka Mali za Rais
- Jerry Muro: Wajumbe wanatanguliza pesa mbele kuliko maono
- Wakili Deogratius Mahinyila: Polisi ituambie nani anayeteka vijana wa CHADEMA na wenye maoni tofauti na serikali
- Mwenyekiti BAVICHA, Mahinyila: Vijana wanaoikosoa Serikali hawataisha, watu wanaokupinga huwezi kuwamaliza
- Makalla: Lissu na wenzake hawana ubavu wa kuzuia uchaguzi
- No refom No election inawapelekesha sana CCM, Makalla anadai CHADEMA imeanza kushindwa kabla ya uchaguzi mkuu
- Makalla: Uchaguzi Mkuu utafanyika kama ilivyopangwa, hakuna wa kuuzuia
- Amos Makalla: Achaneni na Propaganda za "No reform", Uchaguzi upo, msidanganyike
- Makalla: Wakurugenzi hawatasimamia Uchaguzi, ahoji hofu ya CHADEMA kuhusu Uchaguzi licha ya marekebisho ya mfumo
- Ndolezi Petro: Viongozi wasiochaguliwa na Umma hawawajibiki ipasavyo
- Dkt. Slaa: Makosa yanayofanywa na serikali yanatupa nafasi ya kujulikana dunia nzima
- Profesa Lipumba anadai hakutaka kuendelea na Uenyekiti baada ya miaka 25 ila wanachama walimlazimisha
- Dar es Salaam kuandikisha Wapiga Kura wapya 643,420 katika Uboreshaji wa Daftari
- Tume ya Uchaguzi: Waliohukumiwa kifungo cha zaidi ya miezi sita jela, kuondolewa kwenye daftari la Wapiga Kura
- ACT Wazalendo: Kuna Wakuu wa Mikoa wanaingilia michakato ya uwandikishaji wa wapiga kura wapya kwa kigezo cha kulinda amani
- Waziri Ulega aonya wakandarasi wazembe, aagiza hatua kali kuchukuliwa kwa wanaosababisha ucheleweshwaji wa miradi ya Mwendokasi
- Makalla: Profesa Kitila Mkumbo ni hazina kubwa kwa Chama na Taifa
- Serikali kuboresha Hospitali ya Taifa Muhimbili kwa kuijenga upya kwa Trilioni 1.2
- Ado Shaibu: ACT Wazalendo tumejipa muda kutafakari kama tutashiriki au hatutoshiriki uchaguzi Mkuu 2025
- Makalla: Wafungwa chini ya miezi sita (6) watapiga kura Uchaguzi Mkuu
- Amos Makalla: Lissu na wenzako (CHADEMA) nendeni mkafanye reforms zenu, CCM imeshafanya reforms za kutosha
- SAU: CHADEMA, ACT Wazalendo wanatukwamisha na kutuchelewesha katika safari yetu ya kuingia ikulu
- Ndolezi Petro apinga mijadala potofu juu ya uwagaji wa majimbo
- Mchange aipongeza TAKUKURU, baada ya kushikiliwa na kuhojiwa kwa saa kadhaa
- Diwani kata ya Chanika atoa milioni 40 ikiwa ahadi yake kwa wakazi wa eneo hilo kwa ushindi wa kishindo uchaguzi wa serikali za mitaa
- Prof. Kitila ahakiki taarifa zake kwenye daftari la mpiga kura
- CHADEMA kufanya mikutano kuanzia Machi 23, 2025. Kupokea wanachama wapya na wa wanachama zamani. Je, akina Mdee kurejea?
- Amani Golugwa: Wasira wewe siyo msemaji wetu, acha kutusemea kitu ambacho hukielewi
- Amani Golugwa: Kuhusu kushiriki zoezi la kujiandikisha uchaguzi iulizwe Tume, hawakujibu barua yetu
- Waziri Aweso: Wananchi waunganishiwe maji kwa mkopo
- ALAT yawataka madiwani kufanya mikutano ya hadhara
- Mgombea Urais wa Chama cha NLD, Hassan Doyo: No Reform, No Election CHADEMA wenyewe hawajaungana
- Salim Kikeke kutoka BBC Swahili hadi kuwa Chawa mkubwa wa Rais Samia
- Serikali yatoa magari 12 kwa wadhibiti ubora shule Wilaya
- Dorothy Semu wa ACT Wazalendo: Tunaitaka serikali imuite Balozi wa Angola nchini Tanzania ili ajieleze
- ACT Wazalendo yaitaka serikali kuwachukulia hatua Wasira na Naibu Katibu wa Habari na Uenezi wa CCM-Zanzibar
- Katibu UVCCM Dar atembelea Vijiwe na Vikundi kuhamasisha Kujiandikisha katika Daftari la Mpiga Kura
- TANROADS yasaini mkataba wa Km 3.8 kwa Tsh Bilioni 54 na Wachina kujenga barabara ya Njia Nne Mbagala Rangi Tatu–Kongowe
- UVCCM tunasherehekea miaka minne ya dhahabu ya Dkt. Samia Suluhu Hassan
- Waziri Ndumbaro: Miaka Minne ya Rais Samia Imeimarisha Haki za Binadamu
- Tume ya Uchaguzi yafafanua wanaojiandikisha zaidi ya mara moja mkoa wa Dar
- INEC: Mtanzania mwenye umri wa miaka 18 na zaidi au ambaye atafikisha umri huo siku ya uchaguzi ndiye anatakiwa kujiandikisha
- INEC: Ambao hawana changamoto na Kadi zao za 2015 na 2020 wasiende kwenye vituo
- Hassan Doyo achukua Fomu ya Urais kupitia Chama cha NLD, ataja vipaumbele Kumi
- Diamond Platnumz: Usipotoboa kipindi cha Rais Samia, usiilaumu serikali
- ACT-Wazalendo: Hatukubaliani na CHADEMA katika ajenda ya ‘No Reform, No Election’
- Samia Kings (Madee, AY na Chegge) kufuturisha Watoto yatima na wenye Uhitaji maalum Machi 22, 2025
- Ally Bananga: Mikutano ya upinzani huzuiliwa kwasababu hutanguliwa na kauli zinazoashiria uvunjifu wa amani
- UVCCM Dar es Salaam wahamasisha mtaani wananchi kujiandikisha katika Daftari la kudumu la kupiga kurakujiandikisha
- UVCCM Dar es Salaam wahamasisha mtaani wananchi kujiandikisha katika Daftari la kudumu la kupiga kurakujiandikisha
- Onesmo Olengurumwa: Sina uhakika kama Watu wengi wanafahamu kuhusu Uandikishaji
- Dkt. Anna Henga: Kujiandikisha na kuboresha taarifa zako kwenye Daftari la Kupiga Kura ni hatua muhimu ya kutimiza Haki yako ya Kikatiba
- Sheikh Ponda Issa Ponda: Ni muhimu kujiandikisha Kupiga Kura, unatumia haki yake ya Kikatiba
- Ludovick Utouh: Huwezi kushiriki katika Uchaguzi kama huna kadi, nenda kajiandikishe
- Ahmed Ally: Viongozi wanapatikana kwa kadi ya kupiga kura, Watu wajiandiishe wapate haki yao ya Kikatiba
- Dkt Ananilea Nkya: Vijana wa Miaka 18 wakihamasishwa kujiandikisha itakuwa na faida Kidemokrasia
- Cyprian Musiba Aishauri Chadema Kuweka Mkazo kwenye Changamoto za Wananchi Badala ya Kuzuia Uchaguzi
- Afisa Tarafa Chang'ombe awasihi wananchi wakajiandikishe ili wawe na sifa za kuchagua viongozi
- Boni Yai afuturisha mamia ya Wananchi Pwani, ahimiza mshikamano na harakati za 'No reforms No Election'
- Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC) yaongeza siku mbili uboreshaji daftari la wapigakura Dar
- Wafanyabiashara 'Marafiki wa Samia' wamchangia Rais Samia TSh. milioni 700 kwa ajili ya kampeni za uchaguzi mkuu 2025
- Rais Samia achangiwa zaidi ya Tsh. Billion 1.5 ili aweze kurejea tena madarakani
- Habari Leo waondoa taarifa ya Makalla kuwatuhumu CHADEMA kutaka kusambaza Ebola, wasema haikuwasilishwa kwa usahihi
- DC Mpogolo: Miaka minne Ilala imepokea zaidi ya bilioni 317 ya miradi mbalimbali ya maendeleo
- DSM - Jerry Slaa awaahidi Wananchi wa Kivule barabara ya kiwango cha Lami
- Mratibu wa Uandikishaji Dar: Wakala wa Chama kazi yake ni kutazama sio kunakili majina ya wanaojiandikisha kwenye Daftari la Wapiga Kura
- ACT Wazalendo yamtaka Msajili wa Vyama vya Siasa kumchukulia hatua Makalla kauli ya CHADEMA kutaka kupandikiza M-Pox na Ebola nchini
- Msajili wa Vyama vya Siasa aipa wiki moja CHADEMA ijibu barua ya Mchome
- John Mnyika: Taratibu za Uteuzi wangu zilifuatwa, Msajili aeleze nini kilitokea CCM ilipompitisha Mgombea Urais kinyume na Katiba yao
- Naibu Meya wa Ilala, Dougras Massaburi, afafanua kuhusu tetesi za kugombea Kivule na kutoa Wito kwa Wana-CCM
- Mnyika: Msajili aseme amempa Siku ngapi Makalla madai ya CHADEMA kununua Virusi vya Ebola
- Msajili wa Vyama vya Siasa asema tayari hatua zimechukuliwa dhidi ya Amos Makalla kuhusu CHADEMA kununua virusi vya M-pox na Ebola
- RC Chalamila amuwashia moto mkandarasi, achukizwa na uzembe barabara ya Kivule
- Mbunge Wa Temeke akiwasilisha Utekelezaji wa Ilani Kata ya Keko
- Kyara wa Chama cha Sauti ya Umma achukua fomu kuwania urais 2025
- CHADEMA yaita watia nia wa Ubunge Nchi nzima kwenye Ofisi za Makao Makuu ya Chama Mikocheni
- Kinondoni: Mbunge Abbas Tarimba amwaga mitaji kwa Mama Wajasiriamali 54 Kata ya Mzimuni
- Dkt. Biteko kumpatia Tsh. 500,000 askari aliyemuongoza kwenye gwaride; Je, ni kununua uungwaji mkono wa kisiasa?
- BAWACHA mwingine asemekana kushambuliwa na kikundi kilichopo chini ya Mwenyekiti wa CHADEMA Ilala
- Chalamila atoa mkono wa Eid kwa watoto wenye uhitaji
- CHADEMA yamng'oa Katibu wa Sekretarieti wa chama, Julius Mwita baada ya kuibuka mzozano kwenye kundi sogozi
- Pre GE2025 - Nondo: Kigezo cha Ubunge iwe Digrii au Diploma
- Pre GE2025 - DSM - Kada wa CHADEMA, Julius Mwita baada ya kung'olewa, adai Chama kinaendeshwa na Maria Sarungi kutoka Nairobi
- Pre GE2025 - Asemavyo Mnyika Kuhusu Uchaguzi Mkuu Ujao: Tunao Wagombea, Ajenda, Mtandao mpana, na Rasilimali za Kutosha. Tunakosa Mfumo wa Uchaguzi Rafiki kwa Wote
- Pre GE2025 - Waraka wa wagombea 2020 na watia nia wa ubunge 55 wa CHADEMA
- Pre GE2025 - Prof Lipumba: CUF Kitawakomboa Watanzania
- Pre GE2025 - THRDC: Tumesikitishwa na kukamatwa kwa Lissu na kufunguliwa kesi ya uhaini, DPP aondoe shtaka hilo Mahakamani
- Amani Gulogwa: Polisi msitupangie cha kusema, fanyeni majukumu yenu tusichokozane
- Pre GE2025 - THRDC yapendekeza mambo 10 ya muafaka wa Kitaifa kufanikisha Uchaguzi wa Amani
- Pre GE2025 - Mnyika: Sitakuwepo kuwakilisha Chama kusaini Kanuni za Maadili ya Uchaguzi 2025 kwenye Ofisi za Tume ya Uchaguzi
- Pre GE2025 - Video: Hatimaye Bishop Joseph Gwajima ajitokeza. Asema haogopi kufa, mabadiliko huanza na mtu mmoja
- Pre GE2025 - Mufti Mkuu Abubakar bin Zuber kuongoza Dua ya Kumuombea Rais Samia
- Pre GE2025 - CHADEMA waburuzana mahakamani, kesi kuanza leo
- Pre GE2025 - CHADEMA yaomba siku 21 kujibu hoja zilizowasilishwa Mahakamani na wanachadema wanne kusimamisha shughuli zote za kisiasa za chama
- Pre GE2025 - Jenerali Ulimwengu: Hali ya Siasa Tanzania ni mbaya sana,Uchaguzi hufanyika kimaigizo
- Pre GE2025 - CUF yasisitiza kushiriki uchaguzi, yawaalika G-55 kuchukua fomu
- Pre GE2025 - Balozi Nchimbi atoa salamu za Pasaka katika mtoko uliondaliwa na wasanii wa injili
- Pre GE2025 - DSM - Kada wa CHADEMA Hilda Newton: Polisi wamezuia mkutano wetu Kariakoo, wamesema ni maelekezo kutoka juu
- Pre GE2025 - DSM - Inasemekana Heche akamatwa na polisi, apelekwa kituo cha polisi Oysterbay
- Pre GE2025 - DSM - Kinachojiri kuelekea Kesi ya Lissu leo Aprili 24, 2025
- John Mnyika: Salum Mwalimu na Wenzake wamefungua kesi dhidi ya CHADEMA wakidai kuwa maslahi ya Zanzibar hayapewi kipao mbele ndani ya CHADEMA
- Spika Dkt. Tulia: Kuna wengine hawajatekwa, wameenda kusaka maisha
- Henry Kilewo: Viongozi wa sasa wa CHADEMA wanatumiwa na CCM kuhujumu harakati za mageuzi nchini
- CHADEMA Kinondoni: Ukimya wa Freeman Mbowe unatia shaka, ajitokeze hadharani kusema kama anawapa baraka G55
- Mkurugenzi Kailima awaita Wananchi wa Dar kujitokeza kuhakiki, kuboresha taarifa zao Daftari la Mpiga Kura
- Wakenya (Martha Karua na wenzake) waliokuja Tanzania kushuhudia kesi ya Lissu warudishwa wakiwa uwanja wa ndege Dar
- Kesi ya Lissu: Jaji Mkuu Mstaafu wa Kenya Willy Mutunga ashikiliwa uwanja wa Nyerere. Polisi waonekana Kisutu
- Peter Madeleka ajiunga na Chama cha ACT Wazalendo
- Pre GE2025 - DSM - CHAUMMA yapokea rasmi baadhi ya G55 walioondoka CHADEMA
- Pre GE2025 - Salum Mwalimu: CHAUMMA itaweka wagombea kwenye Kata na Majimbo yote ya uchaguzi
- Pre GE2025 - DSM - Furaha Dominick amlipukia Askofu Gwajima: Hana uhalali wa kuongelea Utekaji, ni muongo na muhuni
- LIVE - Pre GE2025 - Askofu Gwajima: CCM si chama cha watekaji. Anayeteka ni kwa malengo yake mwenyewe. Sitayumba, kila aliyetekwa nitahakikisha anajulikana alipo
- Pre GE2025 - DSM - Askofu Gwajima: Mtu akinichokoa chokoa, nitasema vitu utatoka moshi huwezi kufungua Macho
- LIVE - Pre GE2025 - Yanayojiri kesi ya Lissu Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu June 2. Lissu afikishwa Mahakamani
- Pre GE2025 - RC Chalamila: Miradi 36 yenye thamani ya zaidi ya Tsh bilioni 79 kupitiwa na mwenge wa uhuru Dar
- Pre GE2025 - DSM - Meya Kinondoni, Songolo: Nchi ina Katiba na Tume Huru ya Uchaguzi, No Reforms No Election haina maana
- Pre GE2025 - Makamu Mwenyekiti Wa CUF Bara, Othman Dunga: Hatuwezi kufanya siasa za kishamba za kumkashifu Rais Samia
- Pre GE2025 - CHADEMA yamburuza Msajili wa Vyama vya Siasa Mahakamani
- Pre GE2025 - Mwasisi CHAUMMA, Eugene Kabendera ajiunga CHADEMA
- Pre GE2025 - DSM - Ally Hapi: Rais Samia alifungua mlango kuwasikiliza, saivi kimetokea nini?
- Pre GE2025 - DSM - Sheikh Ponda ajiunga rasmi na ACT Wazalendo
- Pre GE2025 - DSM - Sheikh Ponda: Rais Samia akutane na wadau kujadili Uchaguzi Huru 2025
- Pre GE2025 - Kibango cha "No reforms No election" chatua Club ya Small Planet, wamiliki wakikana
- Pre GE2025 - DSM - Camillus Wambura: Jeshi la Polisi halipo tayari kumvumilia yeyote atakayeleta uvunjifu wa amani
- Pre GE2025 - DSM - CCM Kinondoni yasema Askofu Gwajima ameliachia jimbo la Kawe, ataletwa mwakilishi mzuri
- Pre GE2025 - DSM - Heche alaani kitendo cha polisi kushambulia raia mahakamani. Aliyeonekana akishambuliwa kwenye video afunguka
- Pre GE2025 - Dorothy Semu: Tukisusia uchaguzi tutakuwa tunaimarisha hujuma dhidi ya demokrasia. ACT Wazalendo tutaikabili CCM itakavyokuja
- Pre GE2025 - Sheikh Ponda: Viongozi wa Dini ndio waasisi wa siasa na ubunifu wa fikra za kupigania uhuru Tanzania. Sitoacha kufanya siasa
- Pre GE2025 - MNEC Mlao: Vijana tujitokeze kugombea nafasi za uongozi - tusiwe wabeba mabegi ya viongozi
- Pre GE2025 - Rais wa TAHLISO: Wanafunzi vyuo vikuu tutashiriki uchaguzi, Instagram Facebook na X sio Tume Huru ya Uchaguzi
- Pre GE2025 - DSM - Ally Hapi: Miaka mitano ijayo tutajenga treni za mijini Dar na Dodoma
- Pre GE2025 - Rose Ndauka amekuwa msanii wa kike pekee aliyekataa uchawa na kuungana na wananchi kudai haki!
- Pre GE2025 - DSM - Vijana CCM waitisha press kumjibu Gwajima, wataka avuliwe uanachama
- Pre GE2025 - DSM - Wakili Peter Madeleka: ACT ikiingia Madarakani, Tutahakikisha kila Askari anamiliki Ghorofa na Land Cruiser
- Pre GE2025 - DSM - Tundu Lissu: Nimekuwa Mahabusu Siku 68 Mawakili wangu hawajaruhusiwa Kuniona na kuwasiliana na Mimi
- Pre GE2025 - DSM - Mahakama yakubali ombi la Tundu Lissu kujitetea mwenyewe
- Pre GE2025 - DSM - Lissu: Nimewekwa gerezani upande wa waliohukumiwa kifo kwa kunyongwa
- Pre GE2025 - Issa Gavu: Marufuku uonevu, chuki, fitina na uzushi kwa lengo la kuwawekea vikwazo wanaotaka kugombea CCM
- Pre GE2025 - DSM - Waandishi wa Habari watolewa nje ya chumba cha Mahakama kunakosikilizwa kesi ya Tundu Lissu Kisutu
- Pre GE2025 - DSM - Afisa Polisi, Shahidi wa Jamhuri: Niliona matamshi haya yanaleta vurugu, nikaipakua video ya Lissu na kuiwasilisha kwa mamlaka
- Pre GE2025 - DSM - Polisi yazuia Mkutano wa John Heche na Waandishi wa Habari uliokuwa ufanyike leo Juni 17, 2025
- Pre GE2025 - DSM - Polisi kuzuia waandishi/vyombo vya habari kutekeleza majukumu yao kwenye Mkutano wa CHADEMA, Seashells Millennium ni kukandamiza sauti za upinzani
- Pre GE2025 - DSM - John Heche: Jaji Mwanga ajitoe katika kusikiliza kesi yetu, CHADEMA hatuna imani naye
- Pre GE2025 - Shaweji Mkumbula: Tusilazimishe uongozi ni mipango ya Mungu
- Pre GE2025 - DSM - Ado Shaibu: Wezi Wa Kura washughulikiwe kama Wezi Wengine
- Pre GE2025 - DSM - Ole Sabaya kuwania Ubunge Jimbo la Kibamba
- Pre GE2025 - Mwenyekiti wa ngome ya Wanawake ACT Janeth Ritte atoa wito kwa wanawake kuungana kuitoa CCM Madarakani
- Pre GE2025 - DSM - Janeth Rithe: Wanawake msiende kumchagua tena Rais Samia, amechanganyikiwa
- Pre GE2025 - John Heche: CHADEMA ni chama pekee kinachoweza kujaza watu mikutanoni bila kuwasomba kwa malori na kuweka kivutio cha helkopta
- Pre GE2025 - DSM - ACT Wazalendo: Tunaenda kwenye uchaguzi tukiwa hatuna matumaini makubwa ya haki na msingi ya demokrasia kuzingatiwa
- Pre GE2025 - Mwanasheria Chama cha Wanasheria wa Serikali: Chadema bado inayo nafasi ya kushiriki uchaguzi
- GE2025 - Mahakama yatupa maombi kupinga kanuni za maadili uchaguzi mkuu 2025
- DSM - GE2025 - Askofu Gwajima: Kutawala Nchi wakati imemeguka kwa makovu ya Uchaguzi ni kazi ngumu sana, tuwape Reform CHADEMA
- GE2025 - DAR ES SALAAM: Majina ya Watia nia Ubunge waliochaguliwa ya kura za maoni CCM
- DSM - GE2025 - Vurugu Kata ya Upanga Magharibi – Dar, Mtia nia wa Udiwani ashambuliwa, Polisi waingilia kati
- GE2025 - Mgombea aahidi wajumbe akiwa mbunge, wajumbe watafanyia mikutano hoteli yenye kiyoyozi, na atawapeleka Afrika kusini kujifunza kuhusu bima
- GE2025 - Wagombea ubunge, udiwani Segerea wakijinadi mbele ya wajumbe
- GE2025 - Mwenyekiti INEC: Si kweli kwamba wananchi hawaiamini tume ya uchaguzi
- GE2025 - Mkurugenzi wa Uchaguzi INEC: Changamoto ya mawakala tumejirekebisha
- DSM - GE2025 - Prof. Kitila abanwa mbavu na Wajumbe CCM, wakumbusha ahadi ya ujenzi wa ukingo wa Mto Gide
- GE2025 - CHADEMA yapinga ongezeko idadi ya wapiga kura
- GE2025 - Stephen Wasira: Ni utamaduni wa CCM kumwongezea muda Rais anayefanya vizuri
- GE2025 - Stephen Wasira: Itakuwa jambo la busara kama CHADEMA watashiriki uchaguzi, tunasikitika wana matatizo mengi
- GE2025 - Mtia nia wa udiwani CCM akiomba kura akiwa amepiga magoti kwa unyeyekevu mkubwa
- GE2025 - Vurugu za ibuka Kivule wakati wa kura za maoni CCM
- GE2025 - Mahakama yaamuru mashahidi kesi ya Tundu Lissu walindwe
- GE2025 - Prof. Kitila aridhishwa na zoezi la kura za maoni Ubungo
- GE2025 - TCRA: Vyombo vya Habari vizingatie Miongozo na Kanuni za Uandishi wa Habari kuelekea Uchaguzi Mkuu
- GE2025 - ACHPR yaitaka Tanzania kukomesha ukiukaji wa Haki za Binadamu Kabla ya Uchaguzi
- GE2025 - Benson Kigaila: CHAUMMA ina wanachama wengi inazidiwa na CCM tu
- GE2025 - Kesi ya Zuio CHADEMA kufanya shughuli za kisiasa yaahirishwa Hadi Agosti , 18, 2025
- GE2025 - Act Wazalendo inakwenda kuwa Chama Cha pili kuongoza Dola Tanzania
- DSM - GE2025 - CHAUMMA: Watia nia ubunge ni 70% ya majimbo Bara
- GE2025 - Kadege: Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi Iko vizuri, atakayeshinda atatangazwa
- GE2025 - Onesmo: Vyama vya Siasa tusibezane wala kugombana
- GE2025 - James: Mlitaka Mbowe aseme nini wakati wajibu wake alishaamaliza
- GE2025 - James Mbowe kugombea jimbo la hai kupitia CHAUMMA
- GE2025 - Zitto Kabwe: Miezi mitatu ijayo itabadili Siasa za Tanzania
- GE2025 - Mpina na Kalikawe ni wagombea urais kupitia Act Wazalendo
- GE2025 - Bananga: Fedha Zilizochangishwa na CCM ni za Kampeni na ujenzi wa makao makuu ya kisasa
- GE2025 - Rais Samia: Serikali itaajiri wahudumu wa afya 5000 ndani ya siku 100
- GE2025 - CHASO yapanga kumfungulia kesi Kiliba wa TAHLISO
- GE2025 - Doyo: Nikiwa Rais nitalipwa milioni 6 kwa mwezi, wabunge watalipwa milioni 4 tu
- GE2025 - Uchawa kuelekea kampeni, Mboni aja na mkesha wa taarab wa Mama Samia
- GE2025 - ACT Wazalendo: Luhaga Mpina amejiunga na chama kitambo sana
- GE2025 - Sakata la Mpina kugombea Urais kupitia ACT Wazalendo latua mezani kwa msajili, watakiwa kutoa maelezo
- GE2025 - Heche akiri kama kutakuwa reforms ndogo zinazowezekana CHADEMA itaingia kwenye uchaguzi, asema kuna mambo ya kikatiba yanaweza kuchukua muda mrefu
- GE2025 - Monalisa wa ACT Wazalendo anapinga Mpina Kugombea Urais, ahoji 'Kwanini anavaa T-shirt yenye picha ya Magufuli?
- GE2025 - Mchinjita: Ulikuwa ukisikiliza upande wa Mbowe, ni kama Lissu hafai hata kuwa mwenyekiti wa kijiji
- GE2025 - Msajili avitaka vyama vya siasa kuwasilisha taarifa za gharama za kampeni kabla ya siku ya uteuzi
- GE2025 - Wao wamepeleka baiskeli, sisi ADC tunapeleka Ng'ombe ili tutoke ngoma droo
- JAB: Vyeti feki vya Waandishi wa Habari vilivyoletwa Ithibati tunavikabidhi Polisi
- GE2025 - CHAUMMA: Hadi sasa tumeshateua wagombea udiwani 3,182 kati ya kata 3,962 kwa upande wa Tanzania Bara
- GE2025 - Prof Kabudi: Wananchi wanahitaji habari zenye uzito wa hoja na si uzito wa posho, waandishi jiepusheni na bahasha za kahawia
- GE2025 - John Mnyika: Zuio la kufanya siasa linawahusu bodi ya wadhamini na Katibu mkuu, Wanachadema wengine endeleeni bila kutumia mali za chama
- GE2025 - Mwanaisha: Nikiwa mbunge mtapita bure daraja la Kigamboni
- GE2025 - Mgombea ubunge CHAUMMA amnadi Samia jukwaani akipiga kampeni
- GE2025 - Amani Golugwa: Tumemuandikia barua mkuu wa majeshi alisaidie taifa pawepo na uchunguzi ili taifa lijiridhishe tuhuma mfumo wa uchaguzi uliongiliwa
- GE2025 - Bwege: CCM ina mapungufu kwenye mchakato wa kupata mgombea urais, Msajili amefanya nini? Mahakama imefanya nini? kwanini haki itendeke upinzani tu?
- GE2025 - Amani Golugwa: Siku tukiwatoa Madarakani CCM, Chama kitakufa, wamezoea wanabebwa na dola
- GE2025 - Coaster Kibonde: Polepole anatuita wanasiasa uchwara kisa nimesema nitampa kazi Rais Samia
- GE2025 - Doyo: Mama yangu kukamatwa na polisi kisa kodi kumenipelekea niingie kwenye siasa
- GE2025 - Tundu Lissu afikishwa tena Mahakama Kuu leo Septemba 9, 2025
- GE2025 - John Heche alalamikia polisi 'kujazana' Mahakamani kabla Kesi ya Lissu kuanza
- GE2025 - Wanachama CHADEMA wazuiwa kuingia mahakamani kesi ya Lissu
- GE2025 - CHADEMA waomba kuonana na jaji ''Kama hawataki, sisi tunawaacha wao wabaki na hiyo kesi''
- GE2025 - Tundu Lissu anaandika historia mpya ya Tanzania hasusani Tanganyika
- GE2025 - Kesi ya CHADEMA kuhusu mgawanyiko wa mali
- GE2025 - Mwabukusi: Rais Samia aliniambia suala la Lissu watalishughulikia bila kuingilia utaratibu wa mahakama
- GE2025 - Rais wa TLS Boniface Mwabukusi afika Mahakamani Kusikiliza Kesi ya Tundu Lissu
- GE2025 - MWABUKUSI: Kesi ya uhaini ya Lissu iwe LIVE Mahakamani
- GE2025 - Mwenyekiti wa CHADEMA Msongola amnadi Samia Kivule
- GE2025 - Uamuzi wa mapingamizi kesi ya Tundu Lissu kutolewa Septemba 15, 2025
- GE2025 - Wakili Madeleka: CHADEMA wanavunja sheria waende mahakani
- GE2025 - Mgombea Urais TLP aahidi kuifuta Taasisi ya Mikopo ili wanafunzi wote wasome bure
- GE2025 - Kitila Mkumbo aomba kura kwenye daladala
- GE2025 - Viongozi wa Makanisa ya Kimitume na Kinabii wahimiza Amani Uchaguzi Mkuu
- GE2025 - Glory Tausi apita nyumba kwa nyumba kuomba kura jimbo la Kawe
- GE2025 - Mgombea ACT Wazalendo nitatumia pesa za Mfuko wa Jimbo Kutatua Changamoto za wananchi kwa haraka sana
- GE2025 - Agnesta: WanaCCM wameniamba urais watampa Samia, Ubunge CHAUMMA
- GE2025 - Agnesta Kaiza: Wananchi wa Segerea naombeni mnijaribu kwa miaka 5
- GE2025 - Kitila Mkumbo ajibu maswali na kusoga ugali wakati wa kuomba kura
- GE2025 - Deo Sanga: Miradi aliyokamilisha Samia imemchanganya Polepole
- GE2025 - Shingo: Tunagombea sababu tumevurugwa, tuliyemwamini ametuangusha
- GE2025 - Jaji: Hakuna amri ya Polisi kufukuza wafuasi wa CHADEMA Mahakamani katika Kesi ya Tundu Lissu
- GE2025 - Kesi ya Lissu yaahirishwa hadi Septemba 18, 2025
- GE2025 - Mgombea Urais TLP Yustas Rwamugira ahaidi Matibabu ya Afya kuwa bure kwa wote
- GE2025 - Gerson Msigwa: Wananchi mko salama, asiwatishe Mtu, hakuna mwenye mamlaka yakuzuia haki ya kuchagua au kuchaguliwa
- GE2025 - CHAUMMA kuzindua kampeni Agosti 31, 2025 Kinondoni
- GE2025 - Jaji: Hakuna amri ya Polisi kufukuza wafuasi wa CHADEMA Mahakamani katika Kesi ya Tundu Lissu
- GE2025 - Ulinzi mkali asubuhi hii Mahakama Kuu Kesi ya Lissu
- GE2025 - Jamal Rwambow: CCM ilichukua laki 5 yangu, wakasema sifai kugombea
- GE2025 - Mahinyila: Uwakili sikuokota barabarani, Polisi hawawezi kunielekeza chochote nikiwa kazini kwangu
- GE2025 - Wafuasi wa CHADEMA wasusa kusikiliza kesi ya Lissu baada ya wenzao kuzuiwa kuingia ndani ya Mahakamani
- GE2025 - Mgombea Udiwani kata ya Kariakoo Haji Manara akiomba kura ndani ya Daladala
- GE2025 - Kitila Mkumbo apita mtaa kwa mtaa kuomba kura
- GE2025 - Mwenyekiti Jumuiya ya Wazazi CCM Taifa: Jamii imeanza kumuona Askofu Gwajima kama Mpuuzi Fulani
- GE2025 - Bwege: Katika watu wabaya Siasa za nchini ni Prof. Lipumba, ni mtu wa system na dalali wa CCM
- GE2025 - Jeshi la Polisi kupiga picha Mahakamani kwenye kesi dhidi ya Lissu, ni utaratibu au vitisho?
- GE2025 - Kesi ya Lissu: Mahakama Kuu kutoa uamuzi mdogo Septemba 22
- GE2025 - Haji Manara: Hii nchi ina utawala Octoba 29 hatoki mtu kuandamana
- GE2025 - Shingo: Ukonga nichagueni niondee michango batili na kusimamia haki
- GE2025 - Kaniki: Mkinichagua nitashughulikia Mgambo kuwakamata Bodaboda na Kero ya michango Shuleni kwa wazazi
- GE2025 - Manara: Nitamfikia kila mpiga kura wa Kata ya Kariakoo
- GE2025 - Moza: Tunalipa kodi ya serikali asilimia 18%, kwahiyo hatuna sababu wanawake kulipia magharama ya kujifungua hospitali
- GE2025 - Glory Tausi: No Reforms, No Election ya Mbowe ilikuwa ina mikakati ya kuhakikisha tunashida uchaguzi na tunatangazwa, Ya Lissu ilikuja na nginjanginja
- GE2025 - Mahakama Kuu yatupilia mbali pingamizi la Tundu Lissu dhidi ya Hati ya Mashtaka
- GE2025 - Halima Mhando: Kususia Uchaguzi ni kosa, ni sawa kususia maendeleo
- GE2025 - Heche: Lissu amewaambia niko tayari kukaa Gerezani kuliko kuachiliwa na kuondoka ndani ya nchi yangu
- GE2025 - Rais wa TAHLISO: Mustakabali wa vijana utategemea Uchaguzi wa 2025
- GE2025 - Monalisa Ndala: Mpina angekuwa mpinzani kweli asingevaa Fulana zenye picha ya Magufuli
- GE2025 - Monalisa Ndala: Mpina angekuwa mpinzani kweli asingevaa Fulana zenye picha ya Magufuli
- GE2025 - Monalisa: Kama Chama kitakosa Mgombea uzembe niwa Chama na Viongozi, wote waliopo kwenye Uchaguzi watanufaika
- GE2025 - Agness Kaiza: Nakwenda kuwa msemaji wa Wana Segerea kuhusu changamoto zao
- GE2025 - Mchange: Kulazimisha kususia uchaguzi ni kupora haki za wananchi
- GE2025 - Mgombea urais Ada Tadea: Nitaanzisha kituo maalum cha teknolojia ya akili mnemba katika uzalishaji wa bidhaa na huduma
- GE2025 - Wakili Madeleka: Watanzania tunapaswa kupigania uwepo wa Mahakama huru inayotoa haki kwa wote
- GE2025 - Bwege: Hakuna mpinzani wa kweli anayetaka mabadiliko zaidi ya Lissu, walimuhonga wakashindwa, walitaka kumuua wakashindwa
- GE2025 - Bwege: Mpina alikosea kujiunga na chama chenye walakini, ACT kuna shida na uzembe
- GE2025 - Wakili Madeleka: Kama watu hawana haki wananung'unika huwezi kutegemea wafurahie unachokifanya, Tunataka mahakama iwe huru itoe haki
- GE2025 - Bwege amtaka Zitto ajisafishe la sivyo hatoaminika tena na ACT itakuwa chama kama Polepole anavyokisemaga
- GE2025 - Bwege: Heche aliniambia walitaka kwenda ACT lakini Zitto aliwakataa kwa kuwa wangemuaharibia kwani aliahidiwa mambo mazito na Rais
- GE2025 - Agness Kaiza: Nakwenda kuwa msemaji wa Wana Segerea kuhusu changamoto zao
- GE2025 - Albert Msando: Ni kweli Ufisadi upo nchini lakini Rais Samia anapambana nao
- GE2025 - Haran Sanga: Nitamaliza kero za nyani kwa wakulima wa Kata ya Kimbiji
- GE2025 - Manara: Wamiliki wa Malori fuateni Sheria, bora mtunyime Kura lakini Malori yatoke Kariakoo
- GE2025 - Prof Kitila: Pesa za mfuko wa jimbo za kwanza nitawakumbuka mabondia wa Mabibo
- GE2025 - Bwege: Sitashiriki kampeni yoyote ya ACT hadi nitakapojua hatma ya Luhaga Mpina
- GE2025 - Bwege: Dorothy Semu alikataa kujitoa kugombea Urais kupitia ACT ila wakamlazimisha wakasema watamrudishia gharama zake
- GE2025 - Mwenyekiti wa TEF, Balile: Watu mtandaoni wanajizima data au sijui hamnazo? Tanzania kuna maendeleo hadi vjijini
- GE2025 - Mwenyekiti wa ADC Shaban Itutu: Kauli ya Rais Mstaafu Kikwete ya 'Pumba na Mchele' inakejeli Upinzani na kuumiza Demokrasia, ajitokeze aombe radhi
- GE2025 - Mwenyekiti wa TEF, Balile: Kampeni za mwaka huu zina hoja zaidi
- GE2025 - Shetta: Tuilinde amani yetu kwa wivu Mkubwa Kwa kujitokeza kwa wingi Oktoba 29 tukachague viongozi bora kutoka CCM
- GE2025 - Mwenyekiti wa TEF, Balile: Kampeni za mwaka huu zina ustaarabu, Polisi hawashushi wagombea kwenye majukwaa
- GE2025 - Wakili William Maduhu: Tunakwenda kwenye Uchaguzi ikiwa bado kuna Vilio vya Kutotendewa haki, uchaguzi wa Mwaka huu hauna Uhalali wa Kisiasa
- GE2025 - Wakili Dickson Matata: Unaingiaje kwenye uchaguzi ambao Rais ambaye ni Mgombea ndiye anayeteuwa Mwenyekiti, Makamu na Wajumbe wa Tume ya Uchaguzi
- GE2025 - Mgombea ubunge Massaburi aanza kazi kabla hajapata ubunge, apiga marufuku Watendaji wa mitaa kutoza pesa bodaboda Kivule
- GE2025 - Zacharia Obadi: Maandamano ya Octoba 29, 2025 ni msimamo wa Wananchi na siyo Chama
- GE2025 - Zacharia Obadi: Hakuna tulichopoteza sisi kama CHADEMA kutokushiriki uchaguzi
- GE2025 - Vigogo CCM wapita 'chocho' kwa 'chocho' kusaka kura
- GE2025 - Nchimbi atoa ahadi upanuzi maegesho kivuko cha magogoni pamoja na kigamboni, kudhibiti msongamano
- GE2025 - Bwege: Wanasema mkubwa hajambi, nchi hii ukitaka kupata taabu kosoa wakubwa
- GE2025 - Bwege: Rais Samia ajibu tuhuma za ukosefu wa Uhuru na Haki katika Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024. Kikosi kinachoteka watu kinaitwa 'Task Force'
- GE2025 - Bwege amshinikiza Zitto kujibu tuhuma za CCM, adai kufukuzwa baada ya uchaguzi wa Oktoba
- GE2025 - Mambo atakayoyafanya Agnesta Kaiza ndani ya siku 100 akiwa mbunge Segerea
- GE2025 - Dkt. Marcus Alban: Kuzuia Uchaguzi ni Kosa Kubwa katika Taifa
- GE2025 - Wakili Madeleka: Katiba inapiga marufuku Kupinga au kuhoji Matokeo ya Uchaguzi yanayotolewa na Tume
- GE2025 - Mabelele: CHADEMA ilipowafukuza Wabunge 19, Msajili alichukua Maamuzi gani? Mpina arudishwe kwenye Kinyanganyiro, yanayoendelea ni kuchafua CCM
- GE2025 - Wakazi wa Kitunda Relini: Rais Samia ni Mkombozi wa Watoto wetu
- GE2025 - Prof Mkumbo: CCM inaogopa rushwa, CCM pia inapambana na rushwa
- GE2025 - Mgombea Ubunge Chaurembo afanya mazoezi na vijana wa hamasa, Jimbo jipya la Chamazi
- GE2025 - Mwenyekiti wa CHADEMA Kibamba, Ernest Mgawe akamatwa kwa tuhuma za kuhamasisha Maandamano na Fujo Vituo vya Mwendokasi
- GE2025 - Kiduku na Farida waachiwa kwa dhamana, wataendelea kuripoti polisi kila siku
- GE2025 - Nchimbi: Wana CCM wametangaza tarehe 29 Oktoba ni Samia Day
- GE2025 - Eveline: Mkichagua NCCR-Mageuzi usalama kazini ni uhakika
- GE2025 - Chalamila: Njia ya Kimara yatakuja mabasi 200, ukisema hatuitaki CCM haisaidii
- GE2025 - Kiliba: Kuna watu wanaamini ili waingie Madarakani wanapaswa kuwavuruga Watanzania, Tusiingie mkenge kuvuruga nchi yetu
- GE2025 - Mkuu wa Wilaya Ilala: Mnapata Mikopo bila riba, muwe mabalozi wa Rais Samia msiwasikilize wanaoleta chokochoko na vurugu mtandaoni
- GE2025 - Professor Lipumba: Oktoba 29 kura zitahesabiwa kama zilivyopigwa
- GE2025 - Kiongozi wa Rastafarians: Tuilinde amani ya Tanzania, vita ikitokea hatuna nchi ya kukimbilia, Tunamuunga mkono Rais Samia
- GE2025 - Maandamano ya amani yafanyika Kariakoo kumpokea mgombea Udiwani
- GE2025 - Mussa Zungu: Maandamano yaliyopangwa kufanyika Oktoba 29, hayatofanyika hawana ubavu huo
- GE2025 - Aliyoyaahidi Yeriko Nyerere kwenye kampeni za mtaa kwa mtaa kusaka kura
- GE2025 - Kitila aendelea kusaka Kura nyumba kwa nyumba bila kujali mvua
- GE2025 - Profesa Kitila: Wakati wa uchaguzi kama huu, maneno maneno lazima yawepo, lakini mama Samia yupo imara
- GE2025 - Kunje Ngombale Mwiru: Kwa takribani siku 40 za kampeni ni na huhakika wa kushinda kwa asilimia 75 Urais wa Tanzania
- GE2025 - Sheikh: Wale wahuni wanaotaka kuandamana wakaombe kibali Serikalini
- GE2025 - Mazinge: Tusubiri maandamano yatakuwepo siku moja tuu, ambapo itakuwa siku ya kiama
- GE2025 - Ridhiwani: Zaidi ya watu 1,200 wenye ulemavu wameajiriwa Serikalini
- GE2025 - Gerson Msigwa: Vyombo vya dola vimejiandaa ili uchaguzi ufanyike kwa amani
- GE2025 - Gerson Msigwa: Serikali itahakikisha hakuna 'mtu wala sisimizi' wa kuwazuia Watanzania kupiga kura
- GE2025 - Agnesta Kaiza: Rais Mama Samia alisema mimi kama mwanamke lazima nimtue mwanamke wa kata ya Kisulu ndoo kichwani kwa kumpelekea maji
- GE2025 - Misime: Wanaohamasisha maandamano kwa kutumia akaunti feki tutawatambua tu
- GE2025 - Misime: Wanaotaka kuandamana waishie kuandamana hukohuko kwenye mitandao
- GE2025 - Gerson Msigwa: Serikali haijui alipo Humphrey Polepole, ndio maana Polisi inafanya uchunguzi
- GE2025 - Gerson Msigwa: Mengi yanayozungumzwa Mtandaoni hayana ushahidi, wanatumia pages zangu kupata followers
- GE2025 - Gerson Msigwa: Watanzania wangekuwa hawataki kushiriki Uchaguzi 2025 wasingejitokeza kwenye kampeni
- GE2025 - Gerson Msigwa: Wanaotangaza hakuna Uchaguzi 2025 wanapoteza muda na wanafurahisha genge
- GE2025 - Rajab Nyangasa: Wanao hamasisha maandamano ni washamba na wana Roho mbaya
- GE2025 - Wasira: Taifa halijagawanyika, anayefikiri limegawanyika, yeye mwenyewe ndiye amegawanyika
- GE2025 - Kamanda Muliro: Jeshi la polisi limejipanga kuhakikisha wananchi wanatimiza haki yao ya kupiga kura bila hofu na vitisho
- GE2025 - Mwanaisha Mndeme ahidi Mikopo ya 10% na Elimu ya Ujasiriamali kwa Wajasiriamali Wadogo Jimbo la Kigamboni
- GE2025 - Nassibu Kitabu: Samia ni lulu, msitishike na kitu chochote dola ipo, mkapige Kura
- GE2025 - Wasira: Kupotezwa watu ni uhalifu, siyo sera ya CCM, Polepole alisema ametelekezwa Cuba, ghafla ametekwa Tanzania
- GE2025 - Doyo wa NLD: Mkinichagua, nitapunguza posho za wabunge hadi Tsh 70,000 na mshahara, fedha kuelekeza kwenye afya, ualimu na askari
- GE2025 - Manara: Serikali ya CCM inajali elimu, awapatia wanafunzi elfu kumi
- GE2025 - Benki Kuu imekanusha taarifa za kuchapisha pesa “Makontena kwa Makontena” kwa ajili ya uchaguzi
- GE2025 - Kigaila: Ukata wa fedha ni tatizo kubwa sana kwa vyama vya upinzani
- GE2025 - Kigaila: Naona uchaguzi 2025 ni huru kuliko chaguzi za mwaka 2020
- GE2025 - Bwege: Nimeamini maneno ya CHADEMA 'No Reforms, No Election' baada ya mgombea Urais kupitia chama changu ACT Wazalendo kuenguliwa
- GE2025 - Bwege: Aliyosema Kapteni Tesha ni malalamiko ya wananchi, nakubaliana naye isipokuwa suala la jeshi kuchukua nchi
- GE2025 - Bwege: Mabadiliko hayawezi zuiliwa na mtu yeyote. CCM kuzuia mabadiliko kwa nguvu ya dola kunaweza kutokea uvunjifu wa amani
- GE2025 - Albert Chalamila: Watakaojizima Data Oktoba 29 , tutawawasha Data
- GE2025 - Aweso: Samia ametekeleza maono ya Mwalimu Nyerere kwenye sekta ya maji
- GE2025 - Samia: Kila kitu kipo ni kuheshimisha utu wa mtanzania, sina uchungu nabeba matusi yote yanayotolewa
- GE2025 - Samia: Maandamano yatakayokuwepo ni ya kwenda kituoni kupiga Kura, anayezungmza ni Amirijeshi mkuu
- GE2025 - Samia anachukizwa na shida za wananchi na umaskini lakini hachukizwi na utekaji wa raia unaoendelea
- GE2025 - Samia: Kuanzia Januari, 2026 kutakuwa na mageuzi makubwa ya utoaji wa huduma kwenye mwendokasi
- GE2025 - Taarifa ya CIP: Asilimia 83 ya Watanzania wapanga kushiriki Uchaguzi Mkuu Oktoba 29, 2025
- GE2025 - Mwenyekiti CHADEMA Kanda ya Kusini, Aden Mayala atimkia CCM
- GE2025 - Mussa Zungu: Rais Samia ametoa Bilioni 200 ujenzi Mfumo mpya wa maji taka Ilala
- GE2025 - Olivia Chagula: Rais Samia ametuhakikishia Usalama twende tukatiki
- GE2025 - Abbas Mtemvu: DSM hakuna maandamano anayebisha ajaribu
- GE2025 - Samia: Vyombo vyetu vya ulinzi na usalama, vimejipanga vyema, na tumevijengea uwezo wa kutosha
- GE2025 - Mkoa wa Kipolisi Kinondoni wafanya mazoezi ya pamoja na Vyombo vya Ulinzi na Usalama
- GE2025 - Polisi na wanajeshi wapinga tizi zito Kinondoni
- GE2025 - Samia: Nilikerwa kuona makundi ya watu wanasubiri usafiri usiku
- GE2025 - Makonda: Wana Feri msikubali kuiondoa amani, tukapige Kura
- GE2025 - Steve Nyerere: Vijana wasithubutu kuandamana Oktoba 29
- GE2025 - Samia: Awali hatukufanya haki kwenye kugawana ardhi, kiwanja kimoja kinamilikishwa watu watatu watatu
- GE2025 - Jumuiya ya wanataaluma wa chuo kikuu cha Dar es salaam (UDASA) watoa tamko kali hali ya kiusalama nchini wagusia Utekaji
- GE2025 - Samia: Vijana wa Kitanzania, msidanganywe. Ukichukua Afrika Mashariki, pengine na kusini kidogo na kati, Tanzania ni pepo
- GE2025 - Paresso: Watanzania twendeni tukaweke historia kwa kumchagua Rais wa kwanza mwanamke anayetokana na kura za Watanzania
- GE2025 - Makonda: Leo hakuna tena mjadala kuhusu uwekezaji wa bandari, kwa sababu matokeo ya kiuchumi yanaonekana wazi
- GE2025 - Samia: Kama unakaa pazuri, unakula vizuri, afya nzuri, maji unayapata maana yake furaha ipo tu
- GE2025 - Uamuzi wa kesi ya Polepole dhidi ya jamhuri kutolewa leo Oktoba 24,2025
- GE2025 - Kesi ya Lissu kuendelea leo Oktoba 24, shahidi wa nne wa jamhuri asubiriwa kwa hamu
- GE2025 - Sheikh Ponda alalama mawakala wake 35 kuzuiwa jimbo la Temeke
- GE2025 - UDASA: Hatujasema tamko letu ni msimamo wa UDSM wala Viongozi wake. Tutawachukulia hatua wana-UDASA wasiotekeleza jukumu hili
- GE2025 - SACP Mtatiro Kitinkwi: Makosa ya kiuchochezi Mitandaoni hayavumiliki, ukihusika unashughulikiwa kisheria
- GE2025 - SACP Mtatiro Kitinkwi: Tumejipanga vizuri kwa ajili ya uchaguzi
- GE2025 - SACP, Kitinkwi: Mtu yeyote atakayevunja sheria atashughulikiwa
- GE2025 - UDSM yailaani UDASA kwa kukosa “Maadili ya Umma” baada ya kulaani uvunjifu wa haki nchini
- Kiliba: Oktoba 29 tutarusha makombora kuwajibu wahuni wanaotaka kuvunja amani
- GE2025 - DC Msando: Oktoba 29 imetangazwa kuwa siku ya uchaguzi, hivyo ni marufuku kuandamana kwa kigezo cha kudai haki
- GE2025 - Baadhi ya wasanii wa Maigizo wamewatoa hofu wananchi ili wajitokeze kwa wingi katika vituo vya kupigia kura oktoba 29
- GE2025 - Muliro awaonya wanaotaka kuandamana oktoba 29
- GE2025 - Mgombea Urais NLD, Doyo: Watanzania msithubutu kuandamana mtachafua nchi
- GE2025 - David Misime awatisha wanaohamasisha maandamano, asema siku hiyo hata kama utakuwa unapita tutakukamata, tuna picha zenu
- GE2025 - Waislamu na Mashekhe wafanya Dua maalumu Dar kuombea Uchaguzi Mkuu
- GE2025 - Wakuu wa vyombo vya habari wahimiza amani kuelekea uchaguzi mkuu Oktoba 29, 2025
- GE2025 - Watetezi wa wenye Ulemavu (TAJU): Wasimamizi wa Uchaguzi tendeni haki. Uchaguzi ufanyike kwa Amani
- GE2025 - Kada wa CCM, Manson Kimbo: Vijana tukosoe viongozi kwa heshima, tushiriki uchaguzi kwa amani na tukachague CCM
- GE2025 - Dkt. Shaimaa Mohamed: Maandamano yanaruhusiwa kisheria, lakini kwanini muandamane siku ya uchaguzi?
- GE2025 - DCP David Misime: Wanawake mkahamasishe amani majumbani kuelekea uchaguzi Oktoba 29
- GE2025 - Mwenyekiti JUWAKITA, Mariam Mtambo: Tukitaka Maandamano yatakuwa, Tusipotaka hayatokuwa
- GE2025 - Apostle Nick Shaboka: Kuilinda Tanzania ni muhimu kuliko kupigania ndoto za mtu fulani
- GE2025 - Katibu wa Watanzania waishio China: Wanaohamasisha vurugu nchini wana sababu binafsi
- GE2025 - Ujumbe wa Lissu kutoka gerezani: Nimewekwa total isolation, wafungwa niliokuwa nao wamehamishwa, selo yangu imefungwa kamera za ulinzi