Lady Whistledown
JF-Expert Member
- Aug 2, 2021
- 1,029
- 1,646
Mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam Amos Makalla, ameagiza kufuatiliwa kwa marejesho ya mikopo ya Halmashauri inayotolewa kwa wanawake, vijana na watu wenye ulemavu huku ripoti zikionesha tangu mikopo hiyo ianze kutolewa ni bilioni 18 pekee zimerejeshwa huku bilioni 44 zikiwa hazijarejeshwa.
RC Makalla ameyasema hayo leo Septemba 28, 2022, wakati wa kikao chake na Wakuu wa wilaya, Wakurugenzi, Mameya na wadau wa mikopo hiyo ya Halmashauri huku akihimiza fedha hizo kuwafikia wanufaika waliokusudiwa na serikali.
RC Makalla amesema kuwa, tangu mikopo hiyo ianze kutolewa, mkoa huo katika Halmashauri zake zimekwishatoa zaidi ya bilioni 60.
Chanzo: EastAfrica Tv
RC Makalla ameyasema hayo leo Septemba 28, 2022, wakati wa kikao chake na Wakuu wa wilaya, Wakurugenzi, Mameya na wadau wa mikopo hiyo ya Halmashauri huku akihimiza fedha hizo kuwafikia wanufaika waliokusudiwa na serikali.
RC Makalla amesema kuwa, tangu mikopo hiyo ianze kutolewa, mkoa huo katika Halmashauri zake zimekwishatoa zaidi ya bilioni 60.
Chanzo: EastAfrica Tv