#COVID19 Dar: Askofu Ruwai’chi aagiza mapadri wote kupata chanjo dhidi ya UVIKO-19

Naona umeamua kuhubiri kabisa!. haya uliyoandika ndio tunayoyasikia kila uchwao huko makanisani,barabarani na kwenye vituo vya mabasi. Kama karama na vipawa vimetolewa kwa watu, Hao mapadre na makanisa yao kazi yao hasa ni nini?... Kukusanya sadaka?.
🤣 🤣 🤣Dah-Kuna maswali huwa mtu akiuliza yanazalisha maswali mengi sana juu ya competence ya mtu anayeuliza 🤣🙌🙌🙌🤣
 
Mwambie avae kofia sjui kobaragashia kinachimtosha vizuri aache kuvaa kofia za watoto wachanga, chanjo sio razima ni hiari nao wana hiari ya kukataa au kukubali aache mihemko au naye kapiga pesa pesa pesa pesa
 
🤣 🤣 🤣Dah-Kuna maswali huwa mtu akiuliza yanazalisha maswali mengi sana juu ya competence ya mtu anayeuliza 🤣🙌🙌🙌🤣
Wewe jibu ulichoulizwa tu, usitafute visingizio.
 
Udaktari sio karama ya uponyaji Ni kitu Cha kusomea

Karama ya uponyaji Ni uwezo unaopewa na Mungu wa kuponya bila kusoma popote
 
Ficha ujinga mkuu,sala ya kuombea janga la CORONA iliidhinishwa na TEC na ilikuwa inasaliwa makanisa yote katoliki Tanzania.Sasa ulitaka waje wakusalie na huko msikitini kwako wakati wewe siyo mroma?
🤣🤣🤣🤣🤣
 
Waliochanjwa Chanjo ya COVID-19 wanawaona ambao hawajachanja Kama wanaelekea kufa very soon Wakati huo, ambao hawataki chanjo wanawaona waliochanjwa Kama watakufa au kuwa mazombie very soon.

By the way, Mhasham Askofu Yuda Thadei, kabla ya kutoa amri hiyo ambayo kimsingi inaingilia haki ya Uhuru wa kuamua juu ya miili yao kwa Mapadre, anatakiwa aboreshe Miundombinu ya Hospitali ya Kumbukumbu ya Kardinali Rugambwa. Amri Kama hizo, Sasa zinagharimu maisha ya Mapadre wetu. Amri yake ya kwamba Mapadre wote watibiwe kwenye hospitali ya Kanisa yaani Cardinal Rugambwa Hospital imegharimu maisha ya Padre Haule kwa kukosa Mechanical Ventilators. Ni Bora waziache Parokia ziwe zinawapeleka Mapadre wao kwenye hospitali wanazotaka. Ni aibu hospitali Kama Ile kukosa Vent.

Amri za Mhasham zinatakiwa kuangaliwa upya.
 
Bila ya usalama wa afya zetu tutazidi kuwapoteza VIONGOZI WETU WASOMI.....

#ChanjoNiboraKulikoTiba
Viongozi Wasomi pekee hawana tija mkuu Cha muhimu ni kuwa na viongozi wasomi na wenye busara daima hata wasio na busara tuwaombee maana tayari wapo pale
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…