vanus
JF-Expert Member
- May 27, 2017
- 1,152
- 2,853
Mwanamke aliyefahamika kwa jina la Logeasara Chitemo, mkazi wa Ukonga Dar es Salaam, amefariki dunia baada ya kuchomwa na kitu chenye ncha kali na mume wake maeneo ya tumboni na kifuani, kisha kutokomea kusikojulikana.
Kamanda wa Jeshi la Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam Muliro Jumanne Muliro amethibitisha na kusema jeshi hilo linamtafuta mtuhumiwa kisha afikishwe kwenye vyombo vya sheria.
Kamanda wa Jeshi la Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam Muliro Jumanne Muliro amethibitisha na kusema jeshi hilo linamtafuta mtuhumiwa kisha afikishwe kwenye vyombo vya sheria.