Nakadori
JF-Expert Member
- Sep 21, 2011
- 8,781
- 20,955
Mkishapata michepuko mnakuwa na kuwaza hilo basiiTUSIMAME KWENYE UKWELI, USHABIKI NA HARAKATI TUWEKE PEMBENI KWA MUDA.
HIVI UNAFIKIRIA MWANAUME ANAOA MKE, MTOTO WA MTU KWENDA KUMUUA?.
Mkishapata michepuko mnakuwa na kuwaza hilo basiiTUSIMAME KWENYE UKWELI, USHABIKI NA HARAKATI TUWEKE PEMBENI KWA MUDA.
HIVI UNAFIKIRIA MWANAUME ANAOA MKE, MTOTO WA MTU KWENDA KUMUUA?.
AminaKwa imani yangu sorry watakao kwazika.
Namuomba Mama Maria Mtakatifu malkia wa amani atuombee kwa mwanae Yesu Kristo amani katika jamii yetu, awambee pia wakina mama, dada, na wasichana wote waishi maadili yawapasayo nasi wanaume tuwe kweli vichwa katika jamii. MARIA MTAKATIFU MAMA WA MUNGU UTOMBEE.
Kuachana ni suluhu ya hovyo.Sasa ukiona mroro wa mtu amekushinda shi umuache....why umng'ang'anie badi kufikia mauaji ya namna hii?
Bora mwanaume awe na mchepuko kuliko mwanamke akiwa na mchepuko.Mkishapata michepuko mnakuwa na kuwaza hilo basii
Tatizo maisha magumu, na raia wasumbufu...Watu wanashindwa kukabiliana na hasira Siku hizi plus uvumilivu na kuwa na uchungu mioyoni mwao. Hatari sana...
Kakosea, ilitakiwa atokomee bila kuua, nadhani hii mbinu nitaitumia muda si mrefu.Haya matukio mmh
juzi july 1.2022,dar ,kinondoni maeneo ya mikocheni ,jamaa kaamua mkewe kwa kumchoma kisu,jamaa katmokomea
hahahahaha,mbinu nzuriKakosea, ilitakiwa atokomee bila kuua, nadhani hii mbinu nitaitumia muda si mrefu.