Danguro la Kaumba Morogoro limeua wengi

Danguro la Kaumba Morogoro limeua wengi

Hivi unaanzaje kununua malaya???? Wanawake kazini vyuoni majirani wengi hiviii??

(Malaya tunawajua usiniambie hao wa makazini na vyuoni ndiyo malaya wenyewe)
 
kama serikali inajua kila kitu wangeteuliwa tu mawaziri pasina wabunge kupiga kelele.usitetee uovu maneno yanaishi

Kwaio unafikiri serikali haijui apo Kaumba na biashara yake? Kwani hapo hakuna watu wafuatao?

1. Mwenyekiti mtaa?
2.Mjumbe?
3. Mtendaji kata?
4. Diwani?
5. Kituo cha polisi au polisi?
6. Misikiti/msikiti?
7. Kanisa/makanisa?
8. Shule yoyote?

Kama hivi havipo huko basi serikali itakuwa haipajui huko Kaumba.

Nb: Hatutetei ila tunaongea uhalisia, tusipende zunguka zunguka pasi na faida yoyote. Pis hao vijana wanaofuata hizo biashara amini wanajua atari ya wanayoyafanya
 
Kaumba ndo nini sasa?? Kwan hao vijana wote unadhan hawana akili?? Mtu anauza k yake na watu wako tayari kununua we unajifanya kuuumiaaa...
Maandiko yako yametosha kufahamu ww ni mtu wa namna ghani pole sana unahitaji msaada kukwamuliwa.
 
Pale katikati ya Majengo kulikuwa na njia, pia ile barabara ya kaumba ilikuwa inatoka mkp huku Daraja la kagera, cha ajabu walipofungua tuuu Kaumba zilifungwa huo mtaa hautoki tena ukiingia umekwisha.
 
Luna stories moja niliisoma ya Nyerere(JK) KUpishana na Mkuu wa mkoa aliyekuwa ana wafukuza hao Malaya.
moja ya point ni kuimalisha ndoa.
kivipi? WAPO wenye wake zao na wanachoka na shughuri ya Lila siku salsa akipita huko anaweza akampunguzia kazi Usiku.
na nasikia hoi Biashara ya madanguro IPO duniani pote na serikali huzifahamu na wanaziacha ziendelee,
kwa hapo kama unataka Biashara life sema wanauza pombe haramu,na bang hi salsa hivi utaona RPC anatuma watu hapo na Biashara itakufa.
 
Hii biashara ata kwenye vitabu vitakatifu imezungumziwa sidhani kama tawala za sasa hiv wataweza kutokomeza hii biashara
 
Hivi unaanzaje kununua malaya???? Wanawake kazini vyuoni majirani wengi hiviii??

(Malaya tunawajua usiniambie hao wa makazini na vyuoni ndiyo malaya wenyewe)
Mkuu ebu nipe maana ya neno malaya
 
Kaumba ndo nini sasa?? Kwan hao vijana wote unadhan hawana akili?? Mtu anauza k yake na watu wako tayari kununua we unajifanya kuuumiaaa...


Wakati nikiwa SUA hili eneo lilikuwa muhimu sana kwangu.

Kila Ijumaa lazima niwasili Kahumba nikachojoe wazungu.


Tulikuwa tunapaita Faculty.
 
Kaumba, jirani yake ni Moro nite, utafikiri huo mtaa unatoka kumbe hautoki ila unaishia hapo kwa vyangu
 
Waumie tu!!! Si wanaona kutumia condom ni ujinga! We utanunuaje papuchi na bila aibu unaila bila kuchukua precautions!
 
Back
Top Bottom