vermaelen
Member
- Sep 22, 2016
- 35
- 25
Hellow dears!
Please Kama kuna mwenye mtoto ndg au jamaa mwenye degree aliyemaliza 2014-2018
Field zote isipokuwa LAW AND MEDICINE.
UMRI:Mwenye umri kuanzia miaka 26 and below.
CLASS: Awe na 1st class na Upper second.
Atume CV ikiwa imeambatanishwa na certificates pamoja sio separated tu (namaamisha Cv na certificates kwenye PDF zisitenganishwe ziwe pamoja) kisha atume kwenye email ifuatayo:
dismas.mbawalla@dangote.com
NB.
Lower Second na Pass hazitahusishwa kwenye hii program.
HII NI MAHUSUSI KWA WALIO FRESH FROM COLLEGE NOT EXPERIENCED ONE
Deadline:15th April,2019
Ahsanten.
C&P From Whatsapp
Sent using Jamii Forums mobile app
Please Kama kuna mwenye mtoto ndg au jamaa mwenye degree aliyemaliza 2014-2018
Field zote isipokuwa LAW AND MEDICINE.
UMRI:Mwenye umri kuanzia miaka 26 and below.
CLASS: Awe na 1st class na Upper second.
Atume CV ikiwa imeambatanishwa na certificates pamoja sio separated tu (namaamisha Cv na certificates kwenye PDF zisitenganishwe ziwe pamoja) kisha atume kwenye email ifuatayo:
dismas.mbawalla@dangote.com
NB.
Lower Second na Pass hazitahusishwa kwenye hii program.
HII NI MAHUSUSI KWA WALIO FRESH FROM COLLEGE NOT EXPERIENCED ONE
Deadline:15th April,2019
Ahsanten.
C&P From Whatsapp
Sent using Jamii Forums mobile app

