Peopleeeees!namn kuwa umeitikia vyema,wana chadema wote kwanza tumshukuru mungu kwa ku2pigania na kuiondoa ccm arumeru,licha ya ushindi huu mzito ninaomba tucjisahau elimu ya uraia iendelee kutolewa nch nzma kijiji kwa kijiji mtaa kwa mtaa na nyumba kwa nyumba,2kiwa kwenye shangwe hz makamanda we2 wamepata matatzo damu yao haikumwagika kwa ajili ya familia zao lkn kwa ajil yako mnyonge wa nch hii ninaamin damu hii italeta majibu kwa taifa hil,wanachadema wote bila kujal dini wala itkad zetu 2waombee makamanda we2 ili wapone haraka na kurud kwenye harakat za kulipigania taifa letu.
MUNGU IBARIKI CHADEMA
MUNGU IBARIKI CHADEMA