Damu ya kunguni waijua? Soma hapa

Damu ya kunguni waijua? Soma hapa

malyimosenior

New Member
Joined
Apr 21, 2011
Posts
3
Reaction score
0
Damu ya kunguni haimanishi ww nikunguni bali hakuna jema utakalofanya na litaonekana,hata neno ukiliongelea zuri bado litakua baya,njia ya kuepukana ni kukaa kimya
 
Damu ya kunguni haimanishi ww nikunguni bali hakuna jema utakalofanya na litaonekana,hata neno ukiliongelea zuri bado litakua baya,njia ya kuepukana ni kukaa kimya

Sema kwanza shkamoo MAPROSOO.
 
Kama sisi wapenzi wa Man U , jinsi tunavyopendeka ndiyo kusema tuna damu ya Njiwa ! Tena Njiwa mweupe.
Na hiyo Damu ya kunguni wanayo
Shhhhh ! Sogeza skio nikunong'oneze wenyewe wasiskie ni Arsenal hao.
 
Back
Top Bottom