Jaman habari za asubuhi?mimba yangu ni ya miezi miwili na wk moja.lakn leo asubuhi nimeshangaa kuona damu kidogo inatoka.je inaweza ikawa nitatzo madokta?
pole sana ila kutoka damu wakati wa uja uzito sio dalili nzuri.mimba nyengine huwa ni dalili ya mimba kutoka.huanza kutoka damu kidogo,siku ya 2 au ya 3,damu huwa nyingi.pamoja na maumivu ya tumbo kama la period.ila kuna mimba nyengine,damu hutoka kidogo na mimba huwa salama kabisa.muhimu kaonane na daktari wako na ukafanyiwe scan,ikibidi na blood test
....Pamoja na kuwa kunaweza kuwa hakuna tatizo lakini si dalili nzuri kutoka damu wakati wa uja uzito. Nenda kamuone Dr haraka sana ili akuhakikishie kwamba kila kitu kiko shwari.
...Unaweza kuwa unasumbuliwa na implantational bleeding; embryo inakuwa "inajikita" katika kuta za uterus. Hii huwatokea wajawazito wengi katika miezi 3 ya mwanzo ya ujauzito. hata hivyo,nakushauri uende hospitali kwani tafiti zinaonyesha kuwa karibia 50% ya wajawazito wanao toka damu huishia kupoteza ujauzito. Unawezakusoma zaidi hapa............ http://www.emedicinehealth.com/pregnancy_bleeding/article_em.htm
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.