Damian Kanuti wa ITV afariki dunia

Damian Kanuti wa ITV afariki dunia

Alvin Slain

JF-Expert Member
Joined
Aug 30, 2011
Posts
6,375
Reaction score
3,665
Mwandishi wa habari ITV na radio+one DAMIAN KANUTI amefariki dunia katika hosptali ya taifa muhimbili leo. Kituo cha utangazaji nchini Tanzania ITV na Radio One kimeendelea kushudia vifo vya wahandish wa habari hususani wa kituo hicho.
 
DAMIAN roho yako ipumzike kwa amani...
 
RIP Kanuti,poleni sn wafiwa. Hakika sisi ni wa Allah na kwake tutarejea.
 
he breathed his las! R.I.P daniel Kanuti! Poleni wafiwa wote!
 
Mungu ailaze roho ya marehemu mahala pema peponi.,my condolences to Damian relatives and friends.
 
Ooh! pole kwa familia yake, ndugu, jamaa na marafiki
 
Back
Top Bottom