Damdam marathon [emoji125]

Damdam marathon [emoji125]

livewise1

JF-Expert Member
Joined
May 25, 2019
Posts
837
Reaction score
968
Leo nilihudhuria leaders pale.
Nilichojifunza, watu wanapenda sana hizi marathon . Lakini pia ukiwa muhudhuriaji wa hizi mbio aisee suala la kuowa litakuwa mtambuka. Kuna wanawake wazuri na mishepu yao hatari. Na wala hawaringi ukitaka ku interact nae fresh kabisa.
Halafu mizigo ipo ndani ya skin tight wakuu ni balaa.
Wazee na wabibi nao wamo si haba...watoto hali kadhalika wamo yaani. Sema nimechoka kinyama nimeshiriki KM 10 na kuna bogi nilishindwa kulipita nilikuwa nakimbia nyuma yao tu, wale sijui wadada wa taasisi gani.
Ngoja nijipange nyingine ikija tena niende.
NB; picha zipo social media za clauz hukoo ukitaka kaangalie ila waliofika wamejionea uumbaji wa Mungu.
 
Leo nilihudhuria leaders pale.
Nilichojifunza, watu wanapenda sana hizi marathon . Lakini pia ukiwa muhudhuriaji wa hizi mbio aisee suala la kuowa litakuwa mtambuka. Kuna wanawake wazuri na mishepu yao hatari. Na wala hawaringi ukitaka ku interact nae fresh kabisa.
Halafu mizigo ipo ndani ya skin tight wakuu ni balaa.
Wazee na wabibi nao wamo si haba...watoto hali kadhalika wamo yaani. Sema nimechoka kinyama nimeshiriki KM 10 na kuna bogi nilishindwa kulipita nilikuwa nakimbia nyuma yao tu, wale sijui wadada wa taasisi gani.
Ngoja nijipange nyingine ikija tena niende.
NB; picha zipo social media za clauz hukoo ukitaka kaangalie ila waliofika wamejionea uumbaji wa Mungu.
Jogging na marathon ni kichaka kipya cha wadangaji kuinteract na madanga.....
 
Leo nilihudhuria leaders pale.
Nilichojifunza, watu wanapenda sana hizi marathon . Lakini pia ukiwa muhudhuriaji wa hizi mbio aisee suala la kuowa litakuwa mtambuka. Kuna wanawake wazuri na mishepu yao hatari. Na wala hawaringi ukitaka ku interact nae fresh kabisa.
Halafu mizigo ipo ndani ya skin tight wakuu ni balaa.
Wazee na wabibi nao wamo si haba...watoto hali kadhalika wamo yaani. Sema nimechoka kinyama nimeshiriki KM 10 na kuna bogi nilishindwa kulipita nilikuwa nakimbia nyuma yao tu, wale sijui wadada wa taasisi gani.
Ngoja nijipange nyingine ikija tena niende.
NB; picha zipo social media za clauz hukoo ukitaka kaangalie ila waliofika wamejionea uumbaji wa Mungu.
Karibu sana kwenye hayo maisha, nina zaidi ya miaka 12 kwenye hayo maisha! Nimefanikiwa ku interact na watu tofauti almost mikoa yote Tanzania na nchi jirani.

Nina ratiba ya RT ya orodha ya mbio zote kwa mwaka so nachaga mbio zangu 6-12 kwa kila mwaka kwa kuangalia waandaaji kwa maana ya ubora wa mbio

Nimepata marafiki wengi sana kwenye mbio kuliko sehemu yyt ile, krb Kila mkoa ni rundo la marafiki from elite, runners na joggers

Kila ninapo safr nje ya kituo changu cha kazi pamoja na kubeba vifaa vya kazi sisahau vifaa vya mbio.

Nakusihi kama umeanza usiache...kituo kinachofuata ni Kilimarathon 26 Feb, 2023.

Karibu kwenye maisha ya mbio muhimu jua ulichofuata, kuna uchafu wa kila aina!
 
Karibu sana kwenye hayo maisha, nina zaidi ya miaka 12 kwenye hayo maisha! Nimefanikiwa ku interact na watu tofauti almost mikoa yote Tanzania na nchi jirani.

Nina ratiba ya RT ya orodha ya mbio zote kwa mwaka so nachaga mbio zangu 6-12 kwa kila mwaka kwa kuangalia waandaaji kwa maana ya ubora wa mbio

Nimepata marafiki wengi sana kwenye mbio kuliko sehemu yyt ile, krb Kila mkoa ni rundo la marafiki from elite, runners na joggers

Kila ninapo safr nje ya kituo changu cha kazi pamoja na kubeba vifaa vya kazi sisahau vifaa vya mbio.

Nakusihi kama umeanza usiache...kituo kinachofuata ni Kilimarathon 26 Feb, 2023.

Karibu kwenye maisha ya mbio muhimu jua ulichofuata, kuna uchafu wa kila aina!
Umeelewa mada lakini mkuu?

Hatupo kanisani hapa ujue😅
 
Karibu sana kwenye hayo maisha, nina zaidi ya miaka 12 kwenye hayo maisha! Nimefanikiwa ku interact na watu tofauti almost mikoa yote Tanzania na nchi jirani.

Nina ratiba ya RT ya orodha ya mbio zote kwa mwaka so nachaga mbio zangu 6-12 kwa kila mwaka kwa kuangalia waandaaji kwa maana ya ubora wa mbio

Nimepata marafiki wengi sana kwenye mbio kuliko sehemu yyt ile, krb Kila mkoa ni rundo la marafiki from elite, runners na joggers

Kila ninapo safr nje ya kituo changu cha kazi pamoja na kubeba vifaa vya kazi sisahau vifaa vya mbio.

Nakusihi kama umeanza usiache...kituo kinachofuata ni Kilimarathon 26 Feb, 2023.

Karibu kwenye maisha ya mbio muhimu jua ulichofuata, kuna uchafu wa kila aina!
Ahsante mkongwe wa marathon .
 
Back
Top Bottom