Dalili zote zinaonesha ni Lowassa

Dalili zote zinaonesha ni Lowassa

Pumba tupu,mgonjwa wenu mpelekeni muhimbili

Mapirope,
Hapo ulipo wewe ni chizi kwa 100%.
Hivi unapoongea upuuzi kama huu kwa mgombea Urais anayetarajiwa kuwa Rais wa nchi hii una maanisha nini hasa?

Some few questions for you:
1.Hapo ulipo una hakika wewe ni mzima?
2.Je,una hakika gani wewe kama utakuwa hai mpaka tarehe 25.20.2015?
3.Unajua kwamba Mungu anaweza kuchukua uhai wako sasa hivi na huyo unasema ni mgonjwa ukamwacha akiwa hai na akawa Rais wa nji hii?
4.Je,unajua kwamba Rais wako Kiwete amekaa Ikulu akiwa mgonjwa kwa miaka yote hii 10 amewahi kuzimia x3 na amefanyiwa upasuaji wa Tezidume?
5.Je,unajua kwamba hata huyo mgombea wa CCM Bwana Magufuli ni mgonjwa na anaishi kwa matumaini?

Kama una akili timamu huwezi kuwa na majibu ila kama ni chizi utaendelea kubwabwaja!
 
Okoa twiga kusafirishwa, uonevu kwa wastaafu, makato makubwa ya kodi kwenye mishahara ya wafanyakazi, ajira za upendeleo, katiba ya chenge na sitta, vyeo vya kulipana fadhila, meno ya tembo, gesi, madini na rasilimali nyinginezo, kwa kuikataa ccm.

Ccm ni lazima iondoke sasa.
 
Lowasa ongea NA wataalamu WA afya usiwZarau kama Hawaii ccm itakula kwako.ukiingia ikulu jambo LA kwanza hilo
 
kuna uwezekano mkubwa sana lowasa kushangaza umma na kuwaacha nape midomo wazi kwa milioni na million za kura zaid ya 15mil vetoz kwa sabb Ccm haikubaliki tena, wapiga kura wao its less than 5 milioni kwa sasa
 
Hivi wana CCM, mnajisikiaje nyie mnavyotumia muda na nguvu nyingi kumkashifu EL....alafu hamjibiwi? Wakati yeye akitangaza Sera tu. Cjackia mkitaja ESCROW....semeni na hili kidogo
 
nafananisha hizo dalili na examination fever unaweza uka bukua au ukatoka na zero! Hivi nani amesha wahi ku espect kitu too much na ila dalili za kupata au kufanikiwa unaziona alafu mwisho wa siku unakosa unakutana na booonge la dissapointiment! ndio yanayo mkuta mr, hivi mvi soon! 💩💩💩😷
 
Daah mtoa mada vipi sasa Lowasa kashinda huo uraisi aliokuwa anautaka????
 
Hapa kazi tu, kimya kimya magufuli kachukua nnchi na sio mafuriko na mabadiliko ya kuzungusha mikono juani. Mmeloaje ukawa. Kweli Mkapa hakukosea kuwaita manyumbu na malofA. SASA KAZI TU
 
  • Thanks
Reactions: nao
Dalili za anguko la ccm na mabadiliko yaliyotabiriwa zinamwangukia LOWASA kama shujaa alyeandaliwa ktk mabadiliko hayo.
binadam wanatabia ya kupuuza utabir na kutoamn mpaka jambo litokee,hata mm mwanzon skuamn hata kidogo kama hili ndo linaweza kuwa ndo anguko kuu la ccm lililotabiriwa na hayati baba wa taifa,Julius Kambarage Nyerere.
Nmemtafakar sana lowasa alpoanzia na misukosuko ilyompata na wakati wote ktk vpind hvo alvojeruhiwa amekuwa akipita salama,nafkr nguvu ya mabadiliko alyoyabeba ndo yamekuwa yakimuchelewesha na wakati wake umefka sasa.
ukiunganisha dot zote za utabir kuanzia Nyerere alvotabir mabadiliko,TB joshua juu ya Lowasa,Mchungaj alyesema kama lowasa hatakuwa Rais auwawe,Sheikh yahaya kuhusu Lowasa 2015,Askofu kakobe juu ya anguko kuu la ccm 2015 Namna ambavyo ukawa imezaliwa na kuweza kudumu mpaka wakati huu wa uchaguz,na ngao alyoibeba ya mabadiliko iliyoaandaliwa na chadema mda mrefu ya M4C (Movement for Change) .dalil za CCM kuanza kulalamika,kuparanganyika na kuamua kutumia matus na kashifa juu ya Lowasa ni dalili za kushindwa mwaka huu.DALILI ZOTE ZINAONESHA NI LOWASA.

Lowasa atasahaulika muda mfupi we subiri the time w'll tell
 
Sasa kama alishinda kulikoni sasa yuko wapi? Mzee wetu katumia pesa nyingi kuutafuta uraisi tangu kwenye kura za maoni CCM.
 
Back
Top Bottom