Hizo dalili zote ni for sure..na ukitaka uone Omicron noma uwe na vijiMalaria,Uti or Typhoid yaan kigonjwa kingine cha ziada tofauti na yenyewe utakubali mziki wake mbona.
Mm Jana na Leo ndio nimepata nafuu wiki mbili karibu zote hizi nilikuwa hoi,nikasema sasa 2022 itanikuta juu mbinguni kwa Mungu.
Ushauri ukijiskia homa,mafua kikohozi,mwili kulegea na kuchoka pamoja na kutumia tangawizi limao na vitunguu Swaum ila nenda kwanza kapime magonjwa mengine ya kawaida.
Unaweza kupambana na Omicron pekee Malaria ikapita na ww sababu akili yako yote utaielekeza kwenye gonjwa moja kumbe una shida nyingine pia.