Watanzania wishalipita huko kwenye Omiricon kwa sasa tunasibiri kirusi kipyaAina mpya ya virusi vya corona vya Omicron vinaenea kwa kasi duniani kote. Je ni dalili gani watu wakipata wanapaswa kuchukua hatua?
Shirika la Afya Duniani (WHO) linasema watu bado wanapaswa kuangalia dalili za kawaida za Covid:
aina mpya ya kikohozi kinachoendelea
homa/joto la juu
kupoteza au kubadilika kwa harufu au ladha
Mpaka sasa kwa mujibu wa baadhi ya data za Uingreza, dalili tano za virusi vya corona vya Omicron ni hizi:
Mafua mepesi
kichwa kuuma
uchovu
kupiga chafya
kikohozi
Kama unadhani kuwa una corona, ni muhimu kufanya vipimo.
Muongozo wa Marekani unaangazia dalili zifuatao kujua kama mtu ana uviko:
Homa
Kikohozi
Kupumua kwa shida
Kuhisi uchovu
Maumivu ya mwili na misuli
Maumivu ya kichwa
Kupoteza ladha au kubadilika kwa harufu
Koo kuwasha
Mafua
Kutapika
Kuharisha
KabisaKwa dalili hizo watz wote basi tumeumwa.
na limao"TANGAWIZI"
Ukijisikia vibaya tu gonga hyo
Labda hapo pa kutapika na kuharisha.Aina mpya ya virusi vya corona vya Omicron vinaenea kwa kasi duniani kote. Je ni dalili gani watu wakipata wanapaswa kuchukua hatua?
Shirika la Afya Duniani (WHO) linasema watu bado wanapaswa kuangalia dalili za kawaida za Covid:
aina mpya ya kikohozi kinachoendelea
homa/joto la juu
kupoteza au kubadilika kwa harufu au ladha
Mpaka sasa kwa mujibu wa baadhi ya data za Uingreza, dalili tano za virusi vya corona vya Omicron ni hizi:
Mafua mepesi
kichwa kuuma
uchovu
kupiga chafya
kikohozi
Kama unadhani kuwa una corona, ni muhimu kufanya vipimo.
Muongozo wa Marekani unaangazia dalili zifuatao kujua kama mtu ana uviko:
Homa
Kikohozi
Kupumua kwa shida
Kuhisi uchovu
Maumivu ya mwili na misuli
Maumivu ya kichwa
Kupoteza ladha au kubadilika kwa harufu
Koo kuwasha
Mafua
Kutapika
Kuharisha
Watanzania wishalipita huko kwenye Omiricon kwa sasa tunasibiri kirusi kipya
Ndicho nachopitia mkuu, uti na omicron yaani ni balaa...Hizo dalili zote ni for sure..na ukitaka uone Omicron noma uwe na vijiMalaria,Uti or Typhoid yaan kigonjwa kingine cha ziada tofauti na yenyewe utakubali mziki wake mbona.
Mm Jana na Leo ndio nimepata nafuu wiki mbili karibu zote hizi nilikuwa hoi,nikasema sasa 2022 itanikuta juu mbinguni kwa Mungu.
Ushauri ukijiskia homa,mafua kikohozi,mwili kulegea na kuchoka pamoja na kutumia tangawizi limao na vitunguu Swaum ila nenda kwanza kapime magonjwa mengine ya kawaida.
Unaweza kupambana na Omicron pekee Malaria ikapita na ww sababu akili yako yote utaielekeza kwenye gonjwa moja kumbe una shida nyingine pia.
Hakikisha unapata dawa za UTI wakati huohuo unapambana na Tangawizi,limao na vitunguu Swaum mkuu.Ndicho nachopitia mkuu, uti na omicron yaani ni balaa...
Kwa hizo dalili kila mbongo atakuwa na corona sasa maanaAina mpya ya virusi vya corona vya Omicron vinaenea kwa kasi duniani kote. Je ni dalili gani watu wakipata wanapaswa kuchukua hatua?
Shirika la Afya Duniani (WHO) linasema watu bado wanapaswa kuangalia dalili za kawaida za Covid:
aina mpya ya kikohozi kinachoendelea
homa/joto la juu
kupoteza au kubadilika kwa harufu au ladha
Mpaka sasa kwa mujibu wa baadhi ya data za Uingreza, dalili tano za virusi vya corona vya Omicron ni hizi:
Mafua mepesi
kichwa kuuma
uchovu
kupiga chafya
kikohozi
Kama unadhani kuwa una corona, ni muhimu kufanya vipimo.
Muongozo wa Marekani unaangazia dalili zifuatao kujua kama mtu ana uviko:
Homa
Kikohozi
Kupumua kwa shida
Kuhisi uchovu
Maumivu ya mwili na misuli
Maumivu ya kichwa
Kupoteza ladha au kubadilika kwa harufu
Koo kuwasha
Mafua
Kutapika
Kuharisha