Zulu man
JF-Expert Member
- Nov 28, 2020
- 6,320
- 16,562
Watu wazima hawafanyi hayo?😅Utoto raha sana
Watu wazima hawafanyi hayo?😅Utoto raha sana
Daah aisee wandewa ndo hawa sasa!!🤣We akikutunuku chapa, akupende asikupende, we chapa.
Mie akinipa UTELEzi tu nahesabia ananipenda
Tupo mkuuMadomo zege wote tukutane hapa tafadhali
Ataumiza kichwa chake bureAcha kujichosha bro, hayanaga formula haya.
Ww kama umempenda kuwa nae tu.
Sanaaa😘Mkiongea ukamchekesha anapenda kukupiga kakofi 😂😂
😂😂😂😂😂🙌Ataumiza kichwa chake bure
Nimekuwa nikijiuliza Sana kuhusu dalili za mwanamke anaekupenda unamjua kwa ishara zapi?
Mimi ninayofahamu ni tabia ya kuwa na tabasamu unapokuwa nae, vipi kuhusu body language yake......?
Hii aikamate sana hii.Mkiongea ukamchekesha anapenda kukupiga kakofi 😂😂
😂🤣 Sasa hata kama hakupendi akikupa UTELEzi itakuwa haipenyi!?Daah aisee wandewa ndo hawa sasa!!🤣
Ni Mimi😄😄😄Mkiongea ukamchekesha anapenda kukupiga kakofi 😂😂