Dalili za mke anayetoka nje ya ndoa

Dalili za mke anayetoka nje ya ndoa

Sio kweli,wanawake huwa tukiwa na michepuko tunazidisha mapenzi na heshima zaidi Njia kuu,wanaume ndo wakiwa na michepuko wanakuwa na dharau na kejeli njia kuu.
 
mhh!!!!!
hii inafikirisha sana,naona mtoa mada alikurupuka kufunga kizazi, dah pole bana naogopa tu usijezalishiwa mke.......tehe tehe........
 
Ni adventure ya ajabu......hamna kuzima simu....unapokea kama kawaida tu huku mambo yanaendelea taratibu.

na jamaa anaendelea kuongeza spid kuona mwanaume mwenzie kashindwa kazi....hahah
 
Mmmmmmmmh so benteke wewe ni bingwa wa michepuko (ushakuwa generator???) watch out my dear, kila mla cha mwenzie na chake pia huliwa!!!! Things goes around always comes around!!!! Michepuko sio dili. Baki njia kuu benteke:shock::shock:

Hahahah...usihofu Pendaneni.
 
AHSANTE! Na uende utuletee dalili za mwanaume nayetoka nje ya nyumba basi
 
Khaa hadi kununua vyupi umshirikishe mumeo?? Duu! Huby leo nimenunua kyupi kya mtumba ha ha mweeh!! Ya kweli haya??
 
AHSANTE! Na uende utuletee dalili za mwanaume nayetoka nje ya nyumba basi

akifika mlangoni kwa mchepuko wake anakupigia simu hallow beby unafanyanini? Umekula? Nikuletee nini?okey napitia supermarket hapa jirani nakuletea sausage za kuchemsha okey see u later ! Kinachofuata?....
 
Khaa hadi kununua vyupi umshirikishe mumeo?? Duu! Huby leo nimenunua kyupi kya mtumba ha ha mweeh!! Ya kweli haya??

Munkari ukinunua ile kama kabucta kanabana kwa kweli ntazichoma.....napenda zile nyepezi ambazo hata dushe lenyewe linaweza navigate njia bila kutumia mikono. napenda sana. Angalau hata moja nigegede ukiwa umevaa pichu....sasa kuna pichu nyingine kwa kweli zinaletaga changamoto.
 
Akirudi tu atasinzia kwenye kochi na macho kulegea
Pia atalalamika kuchoka sana
 
Hiyo number nne kwa kweli umeniacha hoi kwa kweli hadi nguo za ndani unareport kwa mume?
 
Hapo kwenye "nipe talaka yangu" kuna watu unawalenga. Subiri waje.
 
Siku hizi anakupigia simu anaongea na wewe huku analiwa.....tena anakuweka loud speaker.....ukimuuliza vipi sweetie mbona kama unahema hivo huku unongea, anakujibu niko salon naoshwa kichwa ngoja nikimaliza ntakupigia baby. Kumbe kuna lijamaa linasukuma manyama ndani...


michepuko itaua watu kwa presha.
 
Siku hizi anakupigia simu anaongea na wewe huku analiwa.....tena anakuweka loud speaker.....ukimuuliza vipi sweetie mbona kama unahema hivo huku unongea, anakujibu niko salon naoshwa kichwa ngoja nikimaliza ntakupigia baby. Kumbe kuna lijamaa linasukuma manyama ndani...
Umenikumbusha mbali sana......mimi iliwahinitokea kama hiyo ila ilinifanya nikanyong'onyea sana!
Niliumia sana moyo nikafikiria juu ya huyo jamaa yake nakumuonea huruma, kifupi nilimpiga chini huyo mwanamke!
 
Back
Top Bottom