Jamani hizi dalili mbona zipo upande wa kike tu? Yaani wanaume wote mpo right au nyie huwa hamutendi hivi vitu?
Jamani hizi dalili mbona zipo upande wa kike tu? Yaani wanaume wote mpo right au nyie huwa hamutendi hivi vitu?
Hii bana wakati mwingine huwa haimaanishi kuwa hakupendi kuna mwingine anasema hivi kutokana na kero na uchungu anaoupata kutoka kwa mpenziwe pamoja na kuwa anampenda sana. Mimi nilishawahi kuwa naitumia hii (sio kutumia tu bali nilikuwa namaanisha) maana vituko alivyokuwa ananifanyia nilikuwa naona ni afadhali kila mtu ashike ustaarabu wake kwani nilikuwa naona kama nampa kero na kumlazimisha kuishi nami wakati hanipendi angekuwa ananipenda kamwe asingekuwa ananifanyia vitu vinavyuoniumiza mara kwa mara na ukimwuliza anakuwa mbogo na hata samahani haombi!. Mimi ninampenda mpaka kesho ingawa ndo ilikuwa hivyo tena.
So mtu kukwambia kila mara ni afadhali tuachane doesnt necessarily mean hakupendi bali kero na maumivu unayompa anaona afadhali tu mpart
pole mami! na hakuna kitu kinachoumiza kama kumpenda mtu then yeye hajali kwa lolote, anaona kama kazi bure, haaa haya mapenzi yasingekuwepo bwana lol
... kila siku mashtaka yanayokuja hapa ni udhaifu wa kina baba na ndoa zao, leo umeletwa muhtasari wa manyanyaso kina dada wanaotufanyia (wanaume), nyie hamtaki!
"mkuki kwa nguruwe?"
Jamani hizi dalili hata kwa wanaume pia zipo,yalishanipata mwenzenu nimefall kwa jamaa vituko alivyokuwa anafanya,nakumbuka alidiriki kuniambia kwamba wala hana malengoo yoyote na mimi kama vipi nichukue time,nilijisikia vibaya sana nikaona dalili ya mvua ni mawingu,taratibu nikaanza kujinasua huko,baada ya kuona na mimi sina time nae tena akarudi nikamwambia ulishaniambia huna malengo na mimi na pia huna mpango wa kuoa mtu ambae si wa kabila lako,nilimwuliza huko kwenye kabila lako wadada wameisha?na vipi pia uliposema huna malengo malengo sasa yamekuja?akaanza kujiuma ooo sikuwahi kusema hayo nikamwambia aendelee na maisha yake,sasa hivi amejaribu kila njia turudiane imeshindikana. In short hizi tabia ziko pande zote mbili.
2 : Anapata kigugumizi kukutambulisha kwa rafiki zake na ndugu na inapotokea amebanwa hafikishi ujumbe kwa kiwango timilifu.
3 : Haoneshi kubana matumizi kwa ajili ya maendeleao, kwake ni kufuja mali na anapokosa kupewa pesa ni mwepesi kulalamika na wakati mwingine kununa kabisa.
4 : Anaahilisha mara kwa mara kukutana na wewe tena bila kukueleza sababu za msingi Au kukutungia uongo wa dhahili na kuusisitiza bila kuona aibu.
5 : Anapokuwa akitoa maelezo ya mwanaume amtakaye sifa zake zinakuwa hayalingani na wewe. Anaweza kukuambia napenda kuishi na mwanaume mwenye gari au mwenye mwili mkubwa, sifa ambazo wewe huna!
6 : Hacheki kwa furaha hata kama ukimchekesha haoneshi furaha ya moyoni. Tena mara nyingine anakuwa mkimya na mshiwishi mkubwa wa kuachana kutoka kwenye matembezi yenu ya jioni. Aaah, mi nimechoka narudi nyumbani
7 : Anajaribu kukuunganisha na wanawake wengine na haoni vibaya anaposikia unamfukuzia mwingine badala yake anakutia moyo wa kuendelea na usaliti wako. Hana wivu kabisa.
8 : Hajuti anapokukosea, mwepesi wa kujitenga, kutokuzungumza nawe na mwingi wa kukusukumia makosa hata kama yeye ndiye aliyekukosea.
9 : Msambazaji wa habari za udhaifu wako na mtu asiyekusifia mbele za wenzake. Si balozi mwema kwa familia yake, haishi kukuponda mbele ya wazazi na ndugu zake.
10 : Mwepesi wa kupokea na si wa kutoa mmiliki wa mali zako na mkumbatiaji wa mali zake pia. Msiri wa mipango yake na mtu anayependa kujua zaidi ya kwako kuliko wewe kujua yake.
11: Hathamini uwepo wako na anakuchukulia kama mtu wa akiba. Hakumis unapokuwa haupo, hahisi upweke wala hakukumbuki unapokuwa mbali naye.
12 : Hakutii moyo unaposhindwa na mara nyingine hauzuniki nawe unapokuwa una shida,. Hachukui huzuni yako kama yake, hakufariji na hakusaidii kutatua kilichokwama.
13 : Mhamasishaji wa uasi hasa wa watoto na ndugu, anayeweza kuchochea hisia za jamii ikuone mbaya, ukudharau na wakati mwingine ikutenge. Mwenezaji wa sifa zako mbaya.
14 : Hakupi kipaumbele katika maamuzi, anajiona yeye ndiye wa kwanza na wewe ni mtu wa kufuata hata unapopinga hasitishi dhamira yake ya kutenda.
15 : Humsisimui katika mambo ya faragha, anakuchukulia kama ndugu yake.
16 : Hakuhudumii tendo la ndoa mpaka siku amependa mwenyewe. Ni mwingi wa sababu za kuchoka kusingizia ugonjwa na mwenye kuhisi kero ya kucheza nawe mchezo wa kikubwa.
17 : Hazungumzii maendeleo yenu, mwepesi wa kushawishi ilivyopatikana viuzwe ili atimize hitaji lake. Niuze simu yangu niende kuwaona wazazi, maana kuna sherehe ya motto huko!
18 : Hataki kuambiwa ukweli na anapotokea akaambiwa anajitetea kwa kumtaja mwanaume mwingine. Mbona Shabani (si jina halisi) anamfanyia hili, hamfanyii hivi mkewe
19 : Hasamehe na kusahau. Kosa la mwaka juzi analijengea hoja.
20 : Mwepesi wa kutoa kauli za kutengana na asiyeogopa kuachwa. Kama vipi kila mtu akae kivyake maana naona unaniboa tu, unadhani nitashindwa kuishi bila wewe
BRAZAK
Jamani hizi dalili zimenikumbusha mbali sana,nakumbuka nilishapelekwa kwa ndugu wa jamaa yangu, huo utambulisho uliniacha hoi,jamani huyu ni mtoto wa mzee fulani anaefanya kazi mahali fulani nilichoka nikanyamaza tu,yaani alikua hataki kabisa ijulikane kuwa tuna uhusiano,nilijiuliza maswali mengi sana.
Kwa baadhi ya wanaume naamini sio wote tabia hizi ni mbaya sana na zinakera mno.
21. Ukijaribu kumwomba tiGo anakunyima kabisa huku akijua ni haki yako ya msingi kupeana.
22. Ukitaka uvinza nako inakuwa utata kabisa anakuzuia kabisa kuzama uvinza huku akitambua punde mnapo kuwa wawili ni kujiachia kila kitu hata ukijamba harufu inageuka pafyumu na inabidi umsifie kwa kuto jivunga kupumua.
23. Ukimpa apointment mkutane sehemu yeye akitangulia akifika katika eneo husika anaagiza soda au maji wewe ukifika tu anabadili kinywaji anaagiza REDBULL au HEINECKEN au kinywaji chochote cha ghali huku akijifanya hajui kuwa kuna kitu kinaitwa cost sharing.
24. Mkipeana kideti yeye anakuja na marafiki au company ya watu zaidi ya mmoja katika eneo husika.
25.
mmhh kazi kweli.
Fidel80
Dalili ya mvua ni mawingu,nilipoanza kuona jamaa hasomeki nikaanza kupunguza mazoea,nikafanikiwa na nikam-mwaga,baada ya kummwaga nadhani na kule alikukuwa anakupa kipaumbele akatemwa, akaanza kurudi ooo unajua nakupenda sana,nikampa fact nikamwambia hivi huna fungu katika maisha yangu we chapa zako mwendo alibembeleza nikamwambia sina mpango na wewe tena,akamtafuta kaka yangu na kumweleza kuwa nimemwacha wakati alikua ananipenda,kaka yangu nae akampa fact maana nilishamweleza hali halisi,up to now hana mwelekeo juzi tena kanifata kazini kwangu,nikamwambia aendelee tu na mambo yake, mimi kwa sasa sina huo mpango nimeusitisha lililopo kichwani kwangu ni kusoma tu.
21. Ukijaribu kumwomba tiGo anakunyima kabisa huku akijua ni haki yako ya msingi kupeana.
22. Ukitaka uvinza nako inakuwa utata kabisa anakuzuia kabisa kuzama uvinza huku akitambua punde mnapo kuwa wawili ni kujiachia kila kitu hata ukijamba harufu inageuka pafyumu na inabidi umsifie kwa kuto jivunga kupumua.
Hahahahahaaaaa umenikumbusha kina joti wakati wa Ze Comedy24. Mkipeana kideti yeye anakuja na marafiki au company ya watu zaidi ya mmoja katika eneo husika.