Dalili ya mvua ni mawingu, Magufuli kidedea (joke)

Dalili ya mvua ni mawingu, Magufuli kidedea (joke)

TataMadiba

JF-Expert Member
Joined
Feb 7, 2014
Posts
9,870
Reaction score
5,755
Huyu dogo wa CCM anaashiria yatakayojiri baada ya watu kutumbukiza kura zao kwenye masanduku hapo kesho. Amenivunja mbavu.
[video=youtube_share;6PQh-FauZKk]http://youtu.be/6PQh-FauZKk[/video]
 
Wee na wenzio mtaacha lini kuji-Nyoso wenyewe??
Yani mnaji-Nyoso halafu mnacheka cheka.
Mataahira kabisa.
 
Huyu dogo wa CCM anaashiria yatakayojiri baada ya watu kutumbukiza kura zao kwenye masanduku hapo kesho. Amenivunja mbavu.
[video=youtube_share;6PQh-FauZKk]http://youtu.be/6PQh-FauZKk[/video]

Ni kichekesho tu hakuna maana zaidi. Kuna mgombea wa chadema kwenye karatasi ya kupigia kura na sio ukawa. Ukawa sio chama. Pia vipo vyama vingine sio hiyo ccm na ukawa pekee wanagombea kama kichekesho chenyewe kinavyodai. Hata hivyo kajitahidi kuonesha hisia zake.
 
CCM moja kwa moja national museum.kwa heri ccm.karibu LOWASA.hongera mh Lowasa kwa ushindi mkubwa.Mungu ni mwema.
 
12046705_129775030712865_8664789500788659568_n.jpg
 
TUNA KILA SABABU YA KUMPIGIA KURA EDWARD LOWASSA KESHO. CCM mmeshashindwa kutimiza Ahadi zenu hewa kwa miaka zaidi ya 50.

-Mmeshindwa kutuondolea umasikini na wananchi wana maisha magumu haswa.

-Mnajinufaisha wenyewe tu.

-Vijana hawana Ajira.

*TUMEICHOKA CCM,

*TUNATAKA MABADILIKO

*TUTAMCHAGUA EDWARD LOWASSA KESHO.
 
TUNA KILA SABABU YA KUMPIGIA KURA EDWARD LOWASSA KESHO. CCM mmeshashindwa kutimiza Ahadi zenu hewa kwa miaka zaidi ya 50.

-Mmeshindwa kutuondolea umasikini na wananchi wana maisha magumu haswa.

-Mnajinufaisha wenyewe tu.

-Vijana hawana Ajira.

*TUMEICHOKA CCM,

*TUNATAKA MABADILIKO

*TUTAMCHAGUA EDWARD LOWASSA KESHO.

Umechoka ww na nani?
 
Back
Top Bottom